Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

Wazanzibar wanataka Muungano tulionao uendelee

Eng Kimox Kimokole

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2010
Posts
1,037
Reaction score
767
TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA- DUNGA 9/7/2012

Dunga maoni leo:
Walosema mfumo wa sasa wa Muungano uendelee ni 59, walotaka mfumo wa Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 108, walotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, walowasilisha barua (mchanganyiko) ni 49

MAONI JUU CHA MCHAKATO WA KATIBA HUKO MAKUNDUCHI

Maoni Jana:
Kijini (Makunduchi) walosema Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotoka nje ya mada ni 2, barua ni 3, walotaka Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Zanzibar na Tanganyika) na kisha kuwa na Muungano wa Mkataba ni 39, walotaka mfumo uliopo uendelee ni 78. Jumla ni 124.

MAONI JUU YA KATIBA MPYA HUKO PAJE.

Jana Paje na Bwejuu,
Waliosema tuachiwe tupumuwe ni 8, waliotaka Serikali mbili huru (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba wa Mashirikiano baina yao ni 46, waliotaka Muungano uendelee kama ulivyo sasa ni 25 na waliotoa maoni kwa barua ni 26 (ambao ni mchanganyiko baina ya wanaotaka muundo wa sasa na wale wanaotaka Mkataba).

Kajengwa (Makunduchi):
Waliotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotaka Mkataba ni 48, waliotaka mfumo uliopo uendelee ni 69, waliokuwa hawakufahamika ni 2, barua 26.

Mawazo yangu:
Kwa matokea haya ni wazi Wazanzibar wanataka Muungano uendelee wa Serikali mbili ya sasa, msitarajie mabadiliko na msije mkawasumbua tena Watanganyika. Wako wapi waliosema Wazanzibar hawataki Muungano?

Updates today:

TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA.
Leo Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba imemaliza kazi Mkoa wa Kusini Unguja,
na mukhtasari wa maoni unaonesha kuwa waliotaka muundo wa sasa wa Muungano ubaki kama ulivyo ni 1503,
na waliotaka Serikali mbili (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 1411
 
WaZanzibar Hawataki Muungano Uvunjike Wanachotaka Wao, Wa Zanzibar wapate haki zao wasiingiliwe mambo yao ya ndani kwenye Serikali yao na hata suala la Mafuta ni yao ni la kwao. Lakini ikiwa Serikali ya Muungano ikiwa inaingilia Suala ya Serikali ya Zanzibar hapo ndipo Wa Zanzibar hawata utaka tena huo Muungano Uwepo. Hayo ni Mawazo yangu mimi sio mawazo ya Wa Zanzibar .@Kimox Kimokole
 
WaZanzibar Hawataki Muungano Uvunjike Wanachotaka Wao, Wa Zanzibar wapate haki zao wasiingiliwe mambo yao ya ndani kwenye Serikali yao na hata suala la Mafuta ni yao ni la kwao. Lakini ikiwa Serikali ya Muungano ikiwa inaingilia Suala ya Serikali ya Zanzibar hapo ndipo Wa Zanzibar hawata utaka tena huo Muungano Uwepo. Hayo ni Mawazo yangu mimi sio mawazo ya Wa Zanzibar .@Kimox Kimokole
MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi faida za Muungano ni nini; kwangu kama raia nitapimaje kuwa ninapata faida kwenye huu muungano. Nadhani zanzibar wanafaidi zaidi kwa vile wana uwanja mkubwa sana wa kupatia madaraka ya kitaifa kuliko mimi mitanganyika ambaye ama nitapata madaraka kwenye serikali ya muungano ama sipati madaraka kabisa.

Wao wanaweza kupata madaraka ama kwenye serikali ya Muungano au kwenye serikali ya mapinduzi. wanaweza kuwa wabunge wa muungano wakiwa na sauti kama mbunge wa kutoka Tanganyika, wakati watanganyika hawawezi kuwa wajumbe wa baraza la wawakilishi.

Niliupenda Muungano kwa sababu za kihistoria tu kuwa tumekulia ndani ya muungano lakini siyo kuwa ninapata faida yoyote na muungano huo ambayo ninaweza kuonyesha kwa majivuno.
 
MziziMkavu, umesema huwasemei Wazanzibari, mara umeanza kuwasemea, vipi tena??
Maoni kutoka maeneo matatu yanaonesha hawana problem na Muungano....sasa usiloelewa ni kitu gani?
Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi faida za Muungano ni nini; kwangu kama raia nitapimaje kuwa ninapata faida kwenye huu muungano. nadhani zanzibar wanafaidi zaidi kwa vile wana uwanja mkubwa sana wa kupatia madaraka ya kitaifa kuliko mimi mitanganyika ambaye ama nitapata madaraka kwenye serikali ya muungano ama sipati madaraka kabisa. wao wanaweza kupata madaraka ama kwenye serikali ya Muungano au kwenye serikali ya mapinduzi. wanaweza kuwa wabunge wa muungano wakiwa na sauti kama mbunge wa kutoka Tanganyika, wakati watanganyika hawawezi kuwa wajumbe wa baraza la wawakilishi. Niliupenda Muungano kwa sababu za kihistoria tu kuwa tumekulia ndani ya muungano lakini siyo kuwa ninapata faida yoyote na muungano huo ambayo ninaweza kuonyesha kwa majivuno.

Inasemekana umuhimu wa muungano upo katika suala la usalama/security.Zanzibar ikijitenga itakuwa rahisi sana kutumiwa kama ngome ya ugaidi na kutusababishia tukose amani.
 
MziziMkavu kuna watu wa Zanzibar wanasema Wazanzibar wanataka "KUPUMUA" na hawataki Muungano. Lakini kwa maoni mengi yanayotolewa wanataka muundo wa sasa uendelee wa serikali mbili, na wengine wanataka Muungano wa mkataba, hapo ndipo nina wasiwasi...
yaani huko zanzibar ndo uswahilini kwelikweli! Wanataka "kupumua" = kupumzika kidogo kutoka kwenye kibano cha "ndoa" na tanganyika! Je, baada ya kupumua watarudi tena kwenye "ndoa" au wanataka "kupumua" kimoja? Mi naona hata misamiati mingine haina maana kutumika kwenye mambo mazito kama haya. Au mi ndo sijui kiswahili!?
 
Kwa twakimu hizi ni dhahiri Zanzibar wanataka muungano wa mkataba na siyo wa kikatiba. Hoja siyo kuwepo au kutokuwepo muungano bali ni aina ya muungano. Muungano wa mkataba ni msamiati mpya umejipenyeza katika mijadala karibuni labda wataalam wangetujuza zaidi juu ya muungano wa mkataba vis a vis muungano wa katiba.
 
Mkuu Kimox Kimokole Kwa Ufupi

WaZanzibar Wameshachoka na huo Muungano wetu Wanacho taka hawa Wa Zanzibar kuwa huru hawaoni Faida ya huo

Muungano, Tangu Uanzishwe huo Muungano yafika sasa ni Miaka 48 hakuna faida yoyote ile kwa hao Wa Zanzibar .

Kwa hiyo Wa Zanzibar Wamesha choka na Kero la Muungano hata kama wewe ulikuwa na Mke umemuowa miaka 48

Mukaishi muda wote itafiki wakati iedha atakuchoka wewe huyo mke wako au wewe utamchoka mke wako kila kitu kina

Mwanzo wake na Mwisho wake Mkuu nionavyo mimi hata kama kukiwa na kura ya Maoni Wa Zanzibar wote karibu asilimia

99 hawautaki huo Muungano Mkuu nionavyo mimi mkuu na kwa mawazo yangu hayo.

Faida unazozizungumzia wewe ni zipi hasa ziweke wazi, maana tumekua tukisikia hizi kelele wengine hatujui mnazungumzia faida zipi..kama mnataka kuvunja mahusiano sababu ya mafuta..

Who gave you 100% guarantee kuwa mtanufaika na hayo mafuta?? hamuoni kua ni kamtego ka wachache..Oneni kinachoendelea Nigeria..Wana mafuta lakini mafuta yote yanamilikiwa na makampuni ya nje..hapo Zanzibar kuna mzawa hata mmoja mwenye uwezo wa kuchimba hayo mafuta??

Kama sio wageni ni nani mwingine zaidi..Jueni kua Bara pia kumegundulika Gesi asilia..na Kuna uwezekano mkubwa pia wa mafuta kufuata..Ok tuwaachie mafuta halafu?? mtakuja lia bure huko mbeleni...
 
Faida unazozizungumzia wewe ni zipi hasa ziweke wazi, maana tumekua tukisikia hizi kelele wengine hatujui mnazungumzia faida zipi..kama mnataka kuvunja mahusiano sababu ya mafuta..Who gave you 100% guarantee kuwa mtanufaika na hayo mafuta?? hamuoni kua ni kamtego ka wachache..Oneni kinachoendelea Nigeria..Wana mafuta lakini mafuta yote yanamilikiwa na makampuni ya nje..hapo Zanzibar kuna mzawa hata mmoja mwenye uwezo wa kuchimba hayo mafuta?? kama sio wageni ni nani mwingine zaidi..Jueni kua Bara pia kumegundulika Gesi asilia..na Kuna uwezekano mkubwa pia wa mafuta kufuata..Ok tuwaachie mafuta halafu?? mtakuja lia bure huko mbeleni...


Mie nafikiri hawa watu ni wa kupigwa chini tu.Tuna vijana wengi sana hawana kazi huku bara na wao wanatuzibia.Unajua watu wenye tamaa utawajua tu,akipewa kidogo,anatataka tena,na tena,natena, mpaka ataona kila kitu ni haki yake.Lakini kuna kitu hapa lazima tukijue,kwanini hawa watu wanasikilizwa sana?na huu Muungano uanatetewa kwa maslahi ya nani?Mie sipendi kabisa hizi kelele zao kwa kweli.Tupige serikali tatu, au vinginevyo kila mtu akae kwake.I don't like these noise Neighbours.
 
Kwa twakimu hizi ni dhahiri Zanzibar wanataka muungano wa mkataba na siyo wa kikatiba. Hoja siyo kuwepo au kutokuwepo muungano bali ni aina ya muungano. Muungano wa mkataba ni msamiati mpya umejipenyeza katika mijadala karibuni labda wataalam wangetujuza zaidi juu ya muungano wa mkataba vis a vis muungano wa katiba.

Swali langu linaloniumiza kichwa ni Huo Muungano wa mkataba ukoje ukoje hasa?
 
We kimox na wenzako msiichukulie zanzibar kama kijiji tu,ngoja maoni yakusanywe ktk mikoa yote ya zanzibar na sio kuchukua maoni ya shehia tatu tu. We vipi! Hebu kuwa mkomavu kisiasa. Acha kukurupuka dogo. Kumbe hata hujui nini muungano wa mkataba!
 
ahsante kwakumjibu vizur pengine huenda akaelewa ikiwa ataacha mawazo yake na kuchanganyana wenzake
 
Back
Top Bottom