Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,037
- 767
TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA- DUNGA 9/7/2012
Dunga maoni leo:
Walosema mfumo wa sasa wa Muungano uendelee ni 59, walotaka mfumo wa Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 108, walotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, walowasilisha barua (mchanganyiko) ni 49
MAONI JUU CHA MCHAKATO WA KATIBA HUKO MAKUNDUCHI
Maoni Jana:
Kijini (Makunduchi) walosema Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotoka nje ya mada ni 2, barua ni 3, walotaka Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Zanzibar na Tanganyika) na kisha kuwa na Muungano wa Mkataba ni 39, walotaka mfumo uliopo uendelee ni 78. Jumla ni 124.
MAONI JUU YA KATIBA MPYA HUKO PAJE.
Jana Paje na Bwejuu,
Waliosema tuachiwe tupumuwe ni 8, waliotaka Serikali mbili huru (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba wa Mashirikiano baina yao ni 46, waliotaka Muungano uendelee kama ulivyo sasa ni 25 na waliotoa maoni kwa barua ni 26 (ambao ni mchanganyiko baina ya wanaotaka muundo wa sasa na wale wanaotaka Mkataba).
Kajengwa (Makunduchi):
Waliotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotaka Mkataba ni 48, waliotaka mfumo uliopo uendelee ni 69, waliokuwa hawakufahamika ni 2, barua 26.
Mawazo yangu:
Kwa matokea haya ni wazi Wazanzibar wanataka Muungano uendelee wa Serikali mbili ya sasa, msitarajie mabadiliko na msije mkawasumbua tena Watanganyika. Wako wapi waliosema Wazanzibar hawataki Muungano?
Updates today:
TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA.
Leo Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba imemaliza kazi Mkoa wa Kusini Unguja,
na mukhtasari wa maoni unaonesha kuwa waliotaka muundo wa sasa wa Muungano ubaki kama ulivyo ni 1503,
na waliotaka Serikali mbili (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 1411
Dunga maoni leo:
Walosema mfumo wa sasa wa Muungano uendelee ni 59, walotaka mfumo wa Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 108, walotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, walowasilisha barua (mchanganyiko) ni 49
MAONI JUU CHA MCHAKATO WA KATIBA HUKO MAKUNDUCHI
Maoni Jana:
Kijini (Makunduchi) walosema Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotoka nje ya mada ni 2, barua ni 3, walotaka Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa (Zanzibar na Tanganyika) na kisha kuwa na Muungano wa Mkataba ni 39, walotaka mfumo uliopo uendelee ni 78. Jumla ni 124.
MAONI JUU YA KATIBA MPYA HUKO PAJE.
Jana Paje na Bwejuu,
Waliosema tuachiwe tupumuwe ni 8, waliotaka Serikali mbili huru (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kufuatiwa na Muungano wa Mkataba wa Mashirikiano baina yao ni 46, waliotaka Muungano uendelee kama ulivyo sasa ni 25 na waliotoa maoni kwa barua ni 26 (ambao ni mchanganyiko baina ya wanaotaka muundo wa sasa na wale wanaotaka Mkataba).
Kajengwa (Makunduchi):
Waliotaka Tuachiwe tupumuwe ni 2, waliotaka Mkataba ni 48, waliotaka mfumo uliopo uendelee ni 69, waliokuwa hawakufahamika ni 2, barua 26.
Mawazo yangu:
Kwa matokea haya ni wazi Wazanzibar wanataka Muungano uendelee wa Serikali mbili ya sasa, msitarajie mabadiliko na msije mkawasumbua tena Watanganyika. Wako wapi waliosema Wazanzibar hawataki Muungano?
Updates today:
TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA.
Leo Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba imemaliza kazi Mkoa wa Kusini Unguja,
na mukhtasari wa maoni unaonesha kuwa waliotaka muundo wa sasa wa Muungano ubaki kama ulivyo ni 1503,
na waliotaka Serikali mbili (Zanzibar na Tanganyika) zenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa na kisha kuwa na mashirikiano kupitia Muungano wa Mkataba ni 1411