Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Huyu mbunge ameongea jambo la maana sana juu ya mstakabali wa nchi yake ya Zanzibar ila alicho ambulia mitandao ni matusi, kebehi na dharau juu yake na kwa Wazanzibari kutoka kwa Watanganyika(Watanzania).
Ni nini huko somo la uraia linafanya mashuleni juu ya Watanganyika mbona ni wapumbavu hivi wasiojali lolote kuhusu umuhimu na uhai wa nchi yao.
Nachoona ni Wazanzibari kuipigania na kujivunia Zanzibar kadili wawezavyo ila kwa Watanganyika hata tu nchi yao na utambulisho wao hawataki hata kuusikia.
Nampa heko huyu mbunge.
Bunge lilipaswa kuchafuka hoja za uhai wa nchi ya Tanganyika katika kipindi hiki kuliko kipindi chochote kile.
Watanganyika wamerogwa ? Au nini?
Nyerere aliwafanya nini Watanganyika?
Pia soma: Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Ni nini huko somo la uraia linafanya mashuleni juu ya Watanganyika mbona ni wapumbavu hivi wasiojali lolote kuhusu umuhimu na uhai wa nchi yao.
Nachoona ni Wazanzibari kuipigania na kujivunia Zanzibar kadili wawezavyo ila kwa Watanganyika hata tu nchi yao na utambulisho wao hawataki hata kuusikia.
Nampa heko huyu mbunge.
Bunge lilipaswa kuchafuka hoja za uhai wa nchi ya Tanganyika katika kipindi hiki kuliko kipindi chochote kile.
Watanganyika wamerogwa ? Au nini?
Nyerere aliwafanya nini Watanganyika?
Pia soma: Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport