Wazanzibari: Rasimu imetupuuza!

kuna nini kwenye muungano?? kinachogharimu maisha ya watu tuambieni kuna niniiii?? by SHEIKH ILUNGA HASAN KAPUNGU

Binafsi huwa napata shida sana labda mnisaidie kuna uhusiano gani kati ya uzanzibari na uislam Huyu Ilunga sio mzanzibari lakini alikuwa anakaribishwa miskitini Zanzibar na kutoa mihadhara ya kuvunja muungano na uchochezi wa chuki kwa wakristo.
 

Poor Liberals; they hardly know what they want! na huu upuuzi wa muungano wa mkataba maana yake nini? wanataka mkataba ili wahakikishiwe mgao wa raslimali za bara sio?! wameliwa; wamlaani karume aliyemshinikiza mwalimu kwenye muungano!
 
Mkuu Buchanan,jambo hilo liko wazi. Lakini,Wazanzibari ni wabishi sana.Sijui itakuwaje?

Kuna uzi mwingine humu wenye maudhui kama haya, jamaa 1 ame comment kwa kusema Wazanzibari ni kama kupe mlalamishi, hiyo comment kweli nimeipenda. Wanalishwa na kusomeshwa bure, hata bei ya karafuu imepanda kwasababu sisi tunawapa pesa and still wanalalamika, kupe mlalamishi.
 
Hawa wenzetu tusha wazoea. Hakuna lolote linalo weza fanyika bila wao kulalamika.
 
CHADEMA is not everything

sio kila kitu lazima mtu ajiunge au asapoti CHADEMA

wao Wazanzibari wana viongozi wao wanao wasikiliza
hata hilo la muungano wa mkataba limeanzishwa na watu huko Zanzibar
Ukisema Wazanzibari wana viongozi wao wanaowasikiliza unakosea unaweka Uchama pembeni. Safi kabisa.

Sasa inakuaje wabunge kutokea Zanzibar kwenye bunge la JMT wanapinga waziwazi kuvunjwa kwa muungano? tena linapofikia swala hilo, wabunge wa CUF na CCM wanaungana, wanapinga kwa nguvu zote.

Lakini kwenye baraza la wawakilishi, wawakilishi wa CUF (hao unaowaita viongozi wa Wazanzibari) wanataka madaraka kamili, kwamba tuuvunje kwanza then tukae mezani kuamua kama tunautaka au lah!

Hii ni vita ambayo hawawezi kuishinda. Wameacha muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba ikapita huku ikizuia Muungano kuvunjwa au kujadiliwa, sasa wanasema 'angalao'?

Ziwe serikali tatu au moja, muungano hautavunjwa.......hapo lazima wafahamu hilo, na wajue dhahiri shahiri kwamba walichemka wakati walipotakiwa kuwa wakali bungeni na kwenye baraza la wawakilishi.
 
Kejeli hazito saidia kuunusuru muungano huu,mnapo jiona watanganyika mawazo yenu ni bora na ya waz'br sio bora hapo itakuwa huo ni muungano au ukoloni?tanganyika bila ya zanzibar inawezekana.

Tatizo ni kwamba U-MAAMUMA na SITAKI NATAKA nimemitawala sana. CHADEMA imemionyesha njia sahihi ya kuuvunja Muungano mkaishia kuwazomea. Tena ndani ya Bunge. Ambapo ilikuwa ni mahali muafaka wa kukata ngebe za WAHAFIDHINA.

Cha ajabu mnapokuwa na vimikutano vyenu mkiongozwa na Muasisi wa U-LIBERALI ndio vidole juu ki taarab vile. Ohhhh! hatuutaki Muungano, huku wawakilishi wenu kila siku kiguu na njia Dodoma kwenye Bunge. Si muwazuie wasiende Dodoma? Halafu hao hao ndio wamejenga mahekalu huku Bara na kuwaacha nyie na vibanda maiti vyenu.

Mmeshindwa hata na wana Mtwara ambao wameamua kukomalia gesi mpaka kieleweke!!!
 
Mkuu pale bungeni waz'b ni 50 na kati ya hao 30 ni magamba ambayo yanafika pale kwa msaada wa huyohuyo mkoloni mweusi unategemea nn hapo?kumbuka mle wamo watanganyika 300
 
Mkuu pale bungeni waz'b ni 50 na kati ya hao 30 ni magamba ambayo yanafika pale kwa msaada wa huyohuyo mkoloni mweusi unategemea nn hapo?kumbuka mle wamo watanganyika 300



Hizi kelele zinaitwa Zanzibar sijui zitaisha lini! Zanzibar, Zanzibar...mi nimechoka nazo. Tuacheni tupumue.... eeh. Kwanza hizo serekali tatu mi nazitaka zije ata kesho. Serekali ya Tanganyika, serekali ya Unguja, na Serekali ya Pemba. Mi nazitaka ata kesho hizi serekali tatu.....

Serekali tatu njoo!!!!

tanganyika, pemba na unguja! haya makelele yametuchosha wengine!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…