Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakuna mwenye kauli ya kuwatetea wenyeji, hakuna fukwe itakuwa ya Umma.Inapendeza sana
Acheni chokochoko na upotoshaji. Majengo yamechoka, mengine yamepasuka nyufa, yameshakaa miaka 50! Wanaohamishwa wanapewa pesa kwenda kupanga kwengine. Majengo yakiisha wote wanarudi na wengine wengi wanapata nafasi.Zanzibar mnataka nchi yenu iwe kama Dubai hakuna budi kujiandaa na mabadiliko ya kufukuzwa kwenye maeneo yenu...
Mwisho wa siku mtakuwa wakimbizi Tu
Kwani Mwinyi sio Mzanzibar?Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Hazina faida Kwetu wazanzibari.Zinafaidisha wageni na kwenda kujenga kwao .Ni sawa tu na watanganyika kuuzwa bandari yenu Kwa Babu yake na rais wenu.Kwani hizo hotel zinazojengwa Zanzibar atazibeba kuzileta Tanganyika?
Wabaki huko huko.Wazanzibar watahamia Bara soon na nchi yao itajaa wageni ndo wataelewa maana ya muungano
Anataka mkajae Tanganyika, kisha mjimilikishe na mseme ni Nchi yenu.Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Forodhani ni sehemu ya eneo la hifadhi ya Mji Mkongwe (Stone Town), wale vijana na wafanyabiashara wanaruhusiwa kama sehemu ya burudani kwa wataliiKama hakuna mwenye kauli ya kuwatetea wenyeji, hakuna fukwe itakuwa ya Umma.
Fukwe zote zitamilikiwa na Wageni
Nina wasiwasi hata pale Forodhani wanapoogelea wale Vijana huku wakichukuliwa video, panaweza kutwaliwa na Wageni soon
Maana naona kuna mgeni mmoja ameanzisha Mgahawa unaoelea pale (the floating restaurant)
Okay, bora iwe hivyo maana Wanasiasa wetu hawachelewi kuuza Kwa Wageni hayo maeneoForodhani ni sehemu ya eneo la hifadhi ya Mji Mkongwe (Stone Town), wale vijana na wafanyabiashara wanaruhusiwa kama sehemu ya burudani kwa watalii