Wazanzibari tumemchoka Hussein Mwinyi

Inapendeza sana
Kama hakuna mwenye kauli ya kuwatetea wenyeji, hakuna fukwe itakuwa ya Umma.

Fukwe zote zitamilikiwa na Wageni

Nina wasiwasi hata pale Forodhani wanapoogelea wale Vijana huku wakichukuliwa video, panaweza kutwaliwa na Wageni soon

Maana naona kuna mgeni mmoja ameanzisha Mgahawa unaoelea pale (the floating restaurant)
 
Zanzibar mnataka nchi yenu iwe kama Dubai hakuna budi kujiandaa na mabadiliko ya kufukuzwa kwenye maeneo yenu...
Mwisho wa siku mtakuwa wakimbizi Tu
Acheni chokochoko na upotoshaji. Majengo yamechoka, mengine yamepasuka nyufa, yameshakaa miaka 50! Wanaohamishwa wanapewa pesa kwenda kupanga kwengine. Majengo yakiisha wote wanarudi na wengine wengi wanapata nafasi.
 
Kwani Mwinyi sio Mzanzibar?
 
Anataka mkajae Tanganyika, kisha mjimilikishe na mseme ni Nchi yenu.
Mwenzenu anataka wote mtoke huko muwe mnaenda kutalii kama Wamasai wa Ngorongoro.
 
Forodhani ni sehemu ya eneo la hifadhi ya Mji Mkongwe (Stone Town), wale vijana na wafanyabiashara wanaruhusiwa kama sehemu ya burudani kwa watalii
 
Forodhani ni sehemu ya eneo la hifadhi ya Mji Mkongwe (Stone Town), wale vijana na wafanyabiashara wanaruhusiwa kama sehemu ya burudani kwa watalii
Okay, bora iwe hivyo maana Wanasiasa wetu hawachelewi kuuza Kwa Wageni hayo maeneo
 
Tubadilishane kama vipi nasie wamasai tunasema mje mchukue zezeta lenu huku bara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…