Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Faida zipi mkuu unidokeze hapaAcha ubahili hiyo million 1.7 ni hela kidogo mno kulingana na faida utakayo pata kwa kupanda Mlima Kilimanjaro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida zipi mkuu unidokeze hapaAcha ubahili hiyo million 1.7 ni hela kidogo mno kulingana na faida utakayo pata kwa kupanda Mlima Kilimanjaro
Mimi mara ya kwanza nlitumia route ya umbwe, kwa wale waliyowahi kupanda huo mlima hyo route watakuwa wanailelewaHongera sana mkuu.
🤣🤣🤣Wakiweka vile vigari vya cable ntapanda lakini hivi hivi ngumu sana ntauangalia safari chaneli 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 mie hata kichuguu sitaki kupanda.Naona itakuwa ngumu...Naishiaga kupanda kwa kusoma story zake kama hivi🤣🤣
Vipi siku hizi haupo fit?wakat huo ki physic nilikuwa niko njema sana na zote nimefika mpaka uhuru peak
Na hao wanaomiliki simu za milioni 2 hawapati milo mitatu kwa siku?90% ya wazawa milo mitatunni issue!! Unataka apande mlima!?
90% ya wazawa milo mitatunni issue!! Unataka apande mlima!?
Kupanda Mlima Kilimanjaro ni ujinga?Siwezi Fanya huo ujinga wa kupanda mlima
Hujielewi kisa nimekuambia ukweli kwamba huo ni ujinga unaanza kashfa za kishamba ndio maana wabongo ni mazuzu sana unataka Kila mtu alione Hilo jambo ulilosema ni la maana au jinga kweli wewe unanitolea mfano wa Kenya Ili iweje kama wao wameona la maana ni wao ila Mimi naona ni ujingaKupanda Mlima Kilimanjaro ni ujinga?
Ama kweli Wakenya hawakukosea walipokuwa wanapiga hela kwa kupanda na watalii mlima kilimanjaro.
Kati ya hao wanaopanda mlima na wewe unayekesha kwenye ulanzi nani mjinga?
Ikiwa unakubali kuwa wabongo ni mazuzu basi na wewe ni zuzu kubwa jinga wahed 😁Hujielewi kisa nimekuambia ukweli kwamba huo ni ujinga unaanza kashfa za kishamba ndio maana wabongo ni mazuzu sana unataka Kila mtu alione Hilo jambo ulilosema ni la maana au jinga kweli wewe unanitolea mfano wa Kenya Ili iweje kama wao wameona la maana ni wao ila Mimi naona ni ujinga
Wewe itakua mshamba umepanda mlima Sasa ulivyokua zuzu unakuja kujitangaza humu jielewe umeshakua kubwa Zima sio Kila kitu kujitangazaIkiwa unakubali kuwa wabongo ni mazuzu basi na wewe ni zuzu kubwa jinga wahed 😁