Wazazi wa Tanzania wenzangu. Acheni upumbavu. Tuwapeleke watoto wetu shule za serikali.
Ada zinazingatia uhalisia wa maisha.
Huu usanii wa maisha mpaka lini? Mshahara laki sita ada milion mbili. Hii ni akili au matope?
Mwanangu anasoma shule za serikali anawazidi mbali watoto wa english media