Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 364
- 468
Wakuu,
Tangu nimezaliwa sijawahi kuona sherehe za kisiasa zimepangiliwa kisayansi na zikawa na watu wengi kama nilizoona mwaka huu katavi kwenye maadhimisho ya wiki ya wazazi 2024.
Viongozi waliokuwepo ni pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan Mwenyekiti wa ccm na rais wa nchi, rais Mwinyi, mzee Kinana, Waziri mkuu Majaliwa, Naibu wwziri mkuu Mh. Biteko, Fadhil Maganya mwenyekiti wa wazazi Taifa, Dogo Mabrouk Makamo mwenyekiti, Ally Hapi, katibu Mkuu, manaibu, wajumbe wa Kamati kuu ya ccm, waNEC, wabaraza wazazi, makatibu wa wilaya wazazi na umati wa watu.
Hii ni dhahiri kuwa Afrika hakuna chama kama ccm na kitashinda uchaguzi wa mitaa na mkuu mwakani. Vyama vidogo kama CHADEMA au sijui ACT havina nafasi
Dr. Samia mitano tena.
Tangu nimezaliwa sijawahi kuona sherehe za kisiasa zimepangiliwa kisayansi na zikawa na watu wengi kama nilizoona mwaka huu katavi kwenye maadhimisho ya wiki ya wazazi 2024.
Viongozi waliokuwepo ni pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan Mwenyekiti wa ccm na rais wa nchi, rais Mwinyi, mzee Kinana, Waziri mkuu Majaliwa, Naibu wwziri mkuu Mh. Biteko, Fadhil Maganya mwenyekiti wa wazazi Taifa, Dogo Mabrouk Makamo mwenyekiti, Ally Hapi, katibu Mkuu, manaibu, wajumbe wa Kamati kuu ya ccm, waNEC, wabaraza wazazi, makatibu wa wilaya wazazi na umati wa watu.
Hii ni dhahiri kuwa Afrika hakuna chama kama ccm na kitashinda uchaguzi wa mitaa na mkuu mwakani. Vyama vidogo kama CHADEMA au sijui ACT havina nafasi
Dr. Samia mitano tena.