Wazazi hawakuelewana Mahari, Binti anataka atoroke Nyumbani aje kwangu

Sio kweli Kuna time wazazi huwa wanawachalewesha mabinti Kwa tamaa zao za kiboya tu mwishoe wanaharibikiwa na Maisha so Binti anajua anataka Nini kwenye maisha na kafanya maamuzi
Sawa
 
Wakuu, ushauri wenu ndio unahtajika sana
 
Mtego huo kama ng'ombe 12 umeshindwa hapo utakutana na kitu kizito zaidi ya ikooo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…