haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
Mtu akisha kosa aibu anaweza fanya au ongea jambo lolote lile.
1. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu.
2. Ilikuwa ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena.
3. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua imetoka wapi, si aibu tena.
4. Wazazi wa sasa uzungu mwingi kuvaa vipenzi, kupost pucha za ajabu n.k
5. Wazazi hawana aibu kugombana mbele za watoto nk.
Kifupi haya(aibu) imetoweka katika jamii ndio maana adabu pia inatoweka.
Adabu na Haya zianaenda sambamba. Mtu aliekosa Haya hawezi kua na adabu kamwe.
1. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu.
2. Ilikuwa ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena.
3. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua imetoka wapi, si aibu tena.
4. Wazazi wa sasa uzungu mwingi kuvaa vipenzi, kupost pucha za ajabu n.k
5. Wazazi hawana aibu kugombana mbele za watoto nk.
Kifupi haya(aibu) imetoweka katika jamii ndio maana adabu pia inatoweka.
Adabu na Haya zianaenda sambamba. Mtu aliekosa Haya hawezi kua na adabu kamwe.