Ni kweli, hawa wa sasa ndio itakua hatari zaidi huko mbeleniPicha bado mkuu tupo kwenye trela tu
Dunia imebadilika mkuuUzi kama huu wachangiaji wachache leta uzi wa kula tunda sasa wachangiaji kama wote.
Mtu akisha kosa aibu anaweza fanya au ongea jambo lolote lile
1. Ilikua ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu.
2. Ilikua ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena.
3. Ilikua ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua imetoka wapi, si aibu tena.
4. Wazazi wa sasa uzungu mwingi kuvaa vipenzi, kupost pucha za ajabu n.k
5. Wazazi hawana aibu kugombana mbele za watoto nk.
Kifupi haya(aibu) imetoweka katika jamii ndio maana adabu pia inatoweka.
Adabu na Haya zianaenda sambamba. Mtu aliekosa Haya hawezi kua na adabu kamwe.
π€Ni kweli aibu aibu aibu tu.
Unamfuata Mwanamke unataka urafiki ambao utatengeneza Uchumba mpaka ndoa anakuringia halafu hata bikra hana. Sijui huwa inakuwaje yaani.
Siku hizi ujinga na confidence vinaenda pamoja,
Ndio tatizo kubwa.
Nakumisss Swahiba ππππ€
Umenena mkuu.no. 1 na 2 mzazi hawezi kuzuia, asali tu.
labda sijui afanye nini.
Niko poa kamandaNakumisss Swahiba πππ