Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
nasisitiza wazazi tuongee na wenetu jaman
tuache kukumbatia mila na desturi
zinazotungamiza jana nipo kwenye dala dala
natokea kimara kwenda kkoo watoto wa
shule wamepanda wakaka seta ya nyuma
wakati wanashuka wakampa konda hela
konda akawakata hela ya mtu mzima wakati
wamevaa uniform wakaanza kusema si
wanafuzni konda kasema na mlivyokaa
mmoja akaanza kulia driver katia uyo wa
nyuma mzuri usichukue hela yake akupe
number ya simu nkiwaangalia wapo form
one au two kakawa kanacheka cheka na
konda anamrudishia nauli me nipo seat ya
mbele nkampa konda mia 5 na kuwaambia
shukeni si mmefika aliekuwa analia
akanyamaza wakashuka na ahsante nyingi
roho ikaniuma sikuwa na mda wa kukaa nao
niongee nao manake walikuwa wanawahi
shuleni sasa kwetu sisi wazazi kama
hatuongei nao nyumbai nani aongee nao?
konda?mwalimu?mpika chips?wanafunzi
wenzao?majirani zetu?akiambiwa na konda
ni mzuri kwanini asimpenda na hajawai
ambiwa na mtu yeyote?jaman wa kizazi
changu hao watoto tunaowakuza ni jukumu
letu tusikimbie haya majukumu ya kulea
watoto kuwapa right information kadri
wanavyokuwa waje wa make informed
decision tukimtegemea mwalimju wa science
kimu afundishe watoto zetu kwa dunia ya
saizi tutegeme mabaya zaidi ya yaliotukuta
tuache kukumbatia mila na desturi
zinazotungamiza jana nipo kwenye dala dala
natokea kimara kwenda kkoo watoto wa
shule wamepanda wakaka seta ya nyuma
wakati wanashuka wakampa konda hela
konda akawakata hela ya mtu mzima wakati
wamevaa uniform wakaanza kusema si
wanafuzni konda kasema na mlivyokaa
mmoja akaanza kulia driver katia uyo wa
nyuma mzuri usichukue hela yake akupe
number ya simu nkiwaangalia wapo form
one au two kakawa kanacheka cheka na
konda anamrudishia nauli me nipo seat ya
mbele nkampa konda mia 5 na kuwaambia
shukeni si mmefika aliekuwa analia
akanyamaza wakashuka na ahsante nyingi
roho ikaniuma sikuwa na mda wa kukaa nao
niongee nao manake walikuwa wanawahi
shuleni sasa kwetu sisi wazazi kama
hatuongei nao nyumbai nani aongee nao?
konda?mwalimu?mpika chips?wanafunzi
wenzao?majirani zetu?akiambiwa na konda
ni mzuri kwanini asimpenda na hajawai
ambiwa na mtu yeyote?jaman wa kizazi
changu hao watoto tunaowakuza ni jukumu
letu tusikimbie haya majukumu ya kulea
watoto kuwapa right information kadri
wanavyokuwa waje wa make informed
decision tukimtegemea mwalimju wa science
kimu afundishe watoto zetu kwa dunia ya
saizi tutegeme mabaya zaidi ya yaliotukuta