Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Habari Wana JF, Namshukuru sana Mungu kwa kumuweka hai,Katika hii Dunia kuna mambo mengi sana mazuri na mabaya, Moto huzaliwa na wazazi wake yaani Baba na mama,haijalishi atalelewa na Nani.
Kumetokea matukio mengi ya ajabu na yenye kutisha yanayotendwa na binadamu wenzetu,asilimia kuwa utagundua ni watu ambao katika makuzi Yao hawkufundishwa vizuri na wazazi wao mambo ya dini, Sunday school,misikitini ,nk Mfano makanisani nikiwa mdogo(Mithali 22:6)Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiasha,hata atakapokuwa Mzee.Hii nimeishii hadi Leo Nina miaka54.
Huko tulikotoka kulikuwa na vyombo vya habari lakini si kwa Kasi ya Sasa, ambayo Dunia ni kama Kijiji.Kila mtu ni mdadisi na mwandishi wa habari,matukio yakitokea tayari yamejulikana kwa haraka sana.
Watoto wetu wafundishwe elimu Dunia lakini pia wafundishwe mambo ya dini ili wawe na Hofu ya Mungu hata kama watakana uwepo wa Mungu Bado Sheria za nchi zinaendana na maudhui ya dini Dini imetaja usiue,usiibe,usizini hakuna nchi inyoruhusu hayo pia Ahsanteni.
Kumetokea matukio mengi ya ajabu na yenye kutisha yanayotendwa na binadamu wenzetu,asilimia kuwa utagundua ni watu ambao katika makuzi Yao hawkufundishwa vizuri na wazazi wao mambo ya dini, Sunday school,misikitini ,nk Mfano makanisani nikiwa mdogo(Mithali 22:6)Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiasha,hata atakapokuwa Mzee.Hii nimeishii hadi Leo Nina miaka54.
Huko tulikotoka kulikuwa na vyombo vya habari lakini si kwa Kasi ya Sasa, ambayo Dunia ni kama Kijiji.Kila mtu ni mdadisi na mwandishi wa habari,matukio yakitokea tayari yamejulikana kwa haraka sana.
Watoto wetu wafundishwe elimu Dunia lakini pia wafundishwe mambo ya dini ili wawe na Hofu ya Mungu hata kama watakana uwepo wa Mungu Bado Sheria za nchi zinaendana na maudhui ya dini Dini imetaja usiue,usiibe,usizini hakuna nchi inyoruhusu hayo pia Ahsanteni.