THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Kama watoto wenyewe shuleni ndiyo madudu wanayoyafanya na kuwaza. Hapa hizo dvs zero ni halali kabisa.
source: http://www.facebook.com/pages/Evils...u-ya-Dar-Es-Salaam/117379068436857?ref=stream
View attachment 84229Hapa unahisi wamepata division ngapi hawa watoto?
View attachment 84230Huyu naye unahisi atakuwa amepata division gani?
View attachment 84231 Na huyu je atakuwa ame score division ngapi?
Inatia kichefuchefu kabisa. (moderators naomba uvumilivu)
Lakini hawa mbona ni waigizaji kwenye graduu ya shule ya sekond
lakini si wanaigiza mambo yaliyopo?
hebu irudishe kule facebook haraka!
Unataka kusema watoto wa vijijini mfano wamasai wa monduli wanafanya haya?[/QUOT
Mkuu tatizo ni source ya link kuwa Fb au tatizo ni kuona hayo madudu ya wadogo zetu? Jamvi letu JF lina page Fb BASI TUWASHAURI WAITOE HIYO PAGE.
Otherwise si kila kitu Fb ni cha kijinga.Vingine vina mantiki.Hapa tunaangalia tatizo la watoto kufeli na ukifuatilia hiyo source vizuri inakwambia kabisa evils in DSM; Mimi sijasema watoto wa kimasai huko monduli. ( Kama ni mekukwaza so sorry). MUNGU ibariki Tanzania na watu wake wote.
Kama watoto wenyewe shuleni ndiyo madudu wanayoyafanya na kuwaza. Hapa hizo dvs zero ni halali kabisa.
source: http://www.facebook.com/pages/Evils...u-ya-Dar-Es-Salaam/117379068436857?ref=stream
View attachment 84229Hapa unahisi wamepata division ngapi hawa watoto?
View attachment 84230Huyu naye unahisi atakuwa amepata division gani?
View attachment 84231 Na huyu je atakuwa ame score division ngapi?
Inatia kichefuchefu kabisa. (moderators naomba uvumilivu)
There is no single reason for failure. There are multiple reasons. Tunajaribu kuangazia wanafunzi waliowengi mambo wanayo yafanya. Thus, siwezi jua wanafunzi wa namna hii wapo wangapi kwa idadi au %. Lakini hizo ni baadhi tu ya vitendo wanavyo vifanya. Chunguza sana wanafunzi mienendo yao kwa umakini.Kwani wanafunzi wa aina hii ni wangapi?
mkuu una utani na Mzee Kibaki eeeh!!!hao ni wakenya si watanzania.