Wazazi msitafute mchawi wa watoto wenu kufeli... Angalieni madudu ya watoto wenu kwenye picha hizi.

Wazazi msitafute mchawi wa watoto wenu kufeli... Angalieni madudu ya watoto wenu kwenye picha hizi.

kufundisha watoto kama hawa ambao ni micharuko ina taka moyo, maana una weza ukawa uko ubaoni una wapa lecture wenyewe wana onyeshana mambo kama kwenye picha ya pili, yani lazima concetration ipotee tu, maana kwa mwana ume yeyote anapo ona kitu kama hiki macho hua hayataki kuacha kuangalia, na ubongo nao hu hamishia mawazo juu ya kile ambacho macho yame ona.
 
Tusitoe majibu mepesi kwenye majanga kama huya jaribu kufikiria vizuri, mambo haya yanafanyika kila mahali including university mbona vijana wanafaulu???

Think big, stretch your brain a litle bit more.
 
There is no single reason for failure. There are multiple reasons. Tunajaribu kuangazia wanafunzi waliowengi mambo wanayo yafanya. Thus, siwezi jua wanafunzi wa namna hii wapo wangapi kwa idadi au %. Lakini hizo ni baadhi tu ya vitendo wanavyo vifanya. Chunguza sana wanafunzi mienendo yao kwa umakini.

Nakubali kuna multiple reasons and this is only one but it doesn't take away the blame on the custodian of education in Tanzania - the buck stops with him.
 
Mzee Mchaka Mchaka, achana na watoto wa shule, utakamatwa ushitakiwe na ufungwe. Ushauri wa bure, wewe zunguka mitaani tafuta wakubwa wenzio kama huyu hapa:

View attachment 84313
Mama Mdogo umefanya la maana kumpatia Mzee Mchaka Mchaka mkubwa mwenzie ahangaike nae! Yaani badala asaidie katika kulaani wale wanaorubuni vibinti vya shule yeye anaomba namba kabisa kisha watoto wakifeli tunawalaumu kuwa wanaendekeza ngono.

Ila khaaaaaaaaa! Huyo mdada anaweza asitumie mifuko ya jeans kuhifadhi pesa! Akizilaza katikati ya nyama uzembe hakuna atakaye jua kuwa anapesa.
 
Last edited by a moderator:
awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa jamii forum kwa kuaccept usajili wangu. nimekuwa nikijaribu atleast kupost my opinions lakini kutokana na ugeni ktk matumizi ya teknolojia nikashindwa. Mi ni mkereketwa hasa ktk masuala ya elimu bcoz ni mwl niliyesoma ktk kipindi ambacho ethics za ualim zinatekelezwa ipasavyo.
Napenda kutoa maoni yangu juu ya matokeo ya kidato cha 4 kama ifuatavyo:
1- wanafunzi wa wakati huu kutokuwa na nidhamu, sifikiri kama pasipo na nidhamu kuna mafanikio ktk jambo lolote nidhamu ni jambo la msingi sana. malezi mabaya ya wazazi yanawajengea watoto wa leo kuwadharau walimu wao hivyo kudharau na kile wanachofundishwa.
2-matumizi mabaya ya teknolojia kama vile simu za mkononi, compyuta n.k. Wanafunzi hawatumii teknolojia kwa ajili ya kutafuta elimu bali kuiga mambo ya kipuuzi kama vile picha za ngono, mavazi ya kutuacha uchi kwa kudai kuwa ndo usasa.
3-walimu hawatoshelezi
4-kutofanya mtihani wa mchujo wa national form2, wanafunzi wanabweteka sn kusoma miaka minne mfululizo bila kipimo chochote hasa ukizingatia kuwa miaka ya hivi karibuni wanafunzi wamekuwa wakijiunga kidato cha 1 bila kujua kusoma wala kuandika. watendaji wa elimu mikoa na wilaya kulundika walimu shule za mijini na kusahau za vijijini.
 
awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa jamii forum kwa kuaccept usajili wangu. nimekuwa nikijaribu atleast kupost my opinions lakini kutokana na ugeni ktk matumizi ya teknolojia nikashindwa. Mi ni mkereketwa hasa ktk masuala ya elimu bcoz ni mwl niliyesoma ktk kipindi ambacho ethics za ualim zinatekelezwa ipasavyo.
Napenda kutoa maoni yangu juu ya matokeo ya kidato cha 4 kama ifuatavyo:
1- wanafunzi wa wakati huu kutokuwa na nidhamu, sifikiri kama pasipo na nidhamu kuna mafanikio ktk jambo lolote nidhamu ni jambo la msingi sana. malezi mabaya ya wazazi yanawajengea watoto wa leo kuwadharau walimu wao hivyo kudharau na kile wanachofundishwa.
2-matumizi mabaya ya teknolojia kama vile simu za mkononi, compyuta n.k. Wanafunzi hawatumii teknolojia kwa ajili ya kutafuta elimu bali kuiga mambo ya kipuuzi kama vile picha za ngono, mavazi ya kutuacha uchi kwa kudai kuwa ndo usasa.
3-walimu hawatoshelezi
4-kutofanya mtihani wa mchujo wa national form2, wanafunzi wanabweteka sn kusoma miaka minne mfululizo bila kipimo chochote hasa ukizingatia kuwa miaka ya hivi karibuni wanafunzi wamekuwa wakijiunga kidato cha 1 bila kujua kusoma wala kuandika. watendaji wa elimu mikoa na wilaya kulundika walimu shule za mijini na kusahau za vijijini.

Usijali mwl.utajua teknolojia taratibu taratibu. Otherwise tunashukuru kwa maoni yako.
 
Back
Top Bottom