Wazazi na ndugu wamepinga vikali nimuoe na kuishi nae binti nimpendaye bila kunipa sababu yoyote, sielewi nifanyeje!

Wazazi na ndugu wamepinga vikali nimuoe na kuishi nae binti nimpendaye bila kunipa sababu yoyote, sielewi nifanyeje!

Jokeri

Member
Joined
Dec 9, 2021
Posts
26
Reaction score
73
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
 
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
Sasa unataka kufanya nini wakati umeshamuoa. Endelea naye.
 
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
Kaka umeshaoa, huyo binti ndio familia yako. Hiyo ni test ya uanaume wako, if ukishindwa kuitete your family hufai kuwa baba

Wazazi wetu wa kiafrika sometimes wanadhani wana mamlaka na mtoto hata akiwa mtu mzima which ni very wrong

Shuka kwa upooe chunguza ujue sababu ni nini, kama hazina mashiko , usiishi kwa hisia na maamuzi ya wazazi wako. Ishi unavyotaka wewe
 
Unakula dada yako wewe...we tu ndo hujui huyo ni mtoto wa nje wa baba ako..na Familia nzima inajua kasoro wewe tu..Muulize vizur mama yako
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
 
Screenshot_20241202-142154_Quora.jpg
 
Usikute babako, kakako na mjomba wako "washamchapa" huyo binti ndiyo maana wanakukataza kumuoa.

Ama dadako, mamako, na shangazI zako washachangia "danga" na huyo binti

Wakubwa huwa wanaongea kwa mafumbo
Kama ni hivyo mbona wao hawaachiki kama wameçhangia uzinzi na wana ndoa zao?
 
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
Fata moyo wako unavyokutuma,achana na wazazi wako
 
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
ilifaa zaidi ukamtambulishe kwa wazazi wako akiwa tayari umemfyatulisha vijukuu viwili na tayari unavyo mkononi. hawawezi kuchomoa...

hata hivyo bado unayo hiyo nafasi.
mfatulishe vijukuu vitatu halafu mpeleke tena kwa wazazi wako halafu waachie wajukuu zao wawili na utakua umesolve hiyo issues kisayansi kabisa 🐒
 
Habariii wana jukwaa
Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni mwanake mwenye stara,utu pamoja na utulivuu vijana hupenda kuwaita wife material na tunapendana sana

Lakini hali ilibadilika pale nilipo enda kumtambulisha kwa wazazi kwani walikua wenye wasiwasi na hasira juu ya kumuoa huyu binti na kuniambia niachane nae maramoja tena isitoshe baba yangu mzazi alisema nisipo vunja mahusiano na huyu binti atanipa laana,,,ndio laana ...ndugu zangu baadhi walinionya vikali kua niachane na huyu mwanamke ,nimejalibu kuuliza na kudodosa kilichopo nyuma ya pazia sijaona lolote na nikiwauliza hawasemi lolote zaidi tu ya kusema niachane nae na ukizingatia binti tunapendana kwa dhati .Sielewi nifwate wasemalo wazazi na ndugu au niufwate moyo wangu?

Natumaini humu kuna watu wenye busara na hekima juu ya mahusiano pamoja na mapenzi msaadaa wenu plz nipo njia panda

Nb:mimi na binti tumepishana miaka 3 na mimi ni mkubwa kwake na wote tupo juu ya miaka 23+
Tafuta ndugu ktk ukoo wako watakueleza sababu ya kukuzuia usioe huyo dada. Mojawapo ni uhusiano wa kindugu km mtoto wa baba yako, au mtoto wa nje wa ndugu ya baba yako nk. Pia kama wana magonjwa ya kurithi kwao kama kifafa nk. Pia nyumba yenye wanawake ambao ukioa unapatwa na mikosi hata ya kufa.
 
Back
Top Bottom