Sikutegemea km ungeweza kutetea upuuziNinachojiuliza Mbona Mleta Uzi Ana Uchungu Sana?
Mbona umejitoa haraka mkuuwanaume wa Dar wameingiaje tena hapo japo Mimi CPO Dar.
Wanaume wa dar wapuuzi sana,wachache wanajitambuaLkn jaman tuache matani hata ukisoma novels za wazungu zinazohusu mahusiano, ukweli utaona mke analazimika Sana kuwa mtu wa staha,wenye haiba, asiye penda show off, mwenye hekima ya kusoma nyakati na kuucheka. mke hatakiwi kuwa limbukeni, mtu wa tabia zenye ukakasi, mtu wa kuacha mwanya wa kusemwasemwa na mbaya zaidi mtu wa kuonekana Sana.
Sasa ukiona mke umepata mume/mchumba anakusababisha kuwa mtu wa kuonekana Sana, mtu wa kusemwasemwa, mtu wa kupewa majina majina Basi huyo mume ana shida Sana.
Yawezekana kbs huyo mke/ mchumba ni bikra but why should we know about her virginity? Why should we know about her dowry?
Kwann anatoa upenyo wa mkewe kuongelewa? Tayar Kesha deprive her privacy. Manake wanna duu hawa duu... Do we have to care? Na yy kajuaje Kama bikra Kama hawajawah kuduu?
Basi tuu nimechukia
Hana sifa za kuwa mwanaume wa dar..Ujue kuna mambo ya ajabu sijawahi kuona ni upuuzi na unyanyasaji kwa mwanamke...
Mc pilipili mwanamke hujamuoa,kumtembeza kwenye media anamaanisha nn?
Hivi what if wakimwagana unadhani huyu mwanamke atakuwa kwenye mazingira gani?
Ninachakishangaa wazazi wa huyu mwanamke wako wapi wakati mtoto wao anatembezwa kwenye radio...wanakubali vp MTU hajaoa anamtembeza mwanamke km mke wake!?
Lengo la media tour ni nini? Wao wasanii?
Wanajinasibu wao walokole hivi ulokole gani unaoruhusu upuuzi km huo?
Eti wanadai hawajasex ni urongo kabisa mazingira yote yanaonyesha wanafanya mapenzi..
Wanaume wa dar wana matatizo sana...
Eti anajinadi nimelipa mahari mil5 !!!!! Wakati mwanamke ni wa watu sio bikra ujinga tu...angekuwa bikra ingekuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
ishi Maisha Yako.Ugalatia unakusumbua...mwanamke hujamuoa unamtembeza hovyo kwann?
Sent using Jamii Forums mobile app
WehuSafari zote za mc Pilipili wapo wote, Zanzibar, mwanza, mtwara, Dom,moro .
Halafu wanatuzuga kuwa hawajafanya social exercises.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaAnalitafuta hili balaa hawajui wanawake wa dar huyo chili sosiView attachment 991961
Wewe ulikuwa unampenda mchumba wa MC ?
Maana naona zaidi ya Uchungu kwenye post yako[emoji23][emoji23][emoji23] jikaze[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app