Wazazi wajibikeni…

Wazazi wajibikeni…

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Wazazi timizeni wajibu wenu. Mzigo wa kuwatunza mabinti zenu wamebebeshwa vijana ambao bado wanajitafuta

Mahusiano ya kimapenzi yamekua liability kwa kijana wa kiume. Vijana wa kiume wanashindwa kufanya maendeleo, ambao hawana vipato vya muendelezo wanaamua kununua makahaba ili kukwepa costs za posho ya sex na maintanance ya mahusiano

Hii yote ni kwa sababu wazazi wameshindwa kuwajibika na matunzo ya mabinti wao.

Binti yako kila siku anabadilisha mitindo ya kusuka nywele, binti yako anatumia simu ya gharama kubwa ambayo haujamnunulia wewe, mzazi unashindwa kuhoji hela anatoa wapi?

Mzazi unaruhusu vipi binti yako kuondoka nyumbani kwenda kupanga geto ukiwa haujui anafanya kazi gani yakumpa kipato cha uhakika?

Mzazi ndie mwenye wajibu wa kumuhudumia binti yake mpaka pale atakapopata kazi au kuolewa na kwenda kuishi na mumewe. Jukumu langu kama boyfriend ni ku-provide mapenzi sio pesa/matunzo.
 
$@%@^@&#@*!,@;@?@((@;-;#;$&"*'o4yetwoqk
 
Bro tukatrombe wapi?

Btw acha fikra mgando kwamba tunahudumia kwasababu wazazi wao hawawatunzi. Wazazi wao wanawatunza. Pia sio kwamba wana tamaa, la hasha. Wamekulia ugali maharagwe kama sisi na wanaweza kuendelea kuishi nao.

Ukiona binti wa watu anazawadiwa vitu vizuri usiwe na wivu. Ni muda wake, ana miaka 15 tu ya kutamba. (Umri 20-35)

Women want stable & generous men. Matunzo ya wazazi, fedha zake mwenyewe hazihusiki katika hili.
 
Bro tukatrombe wapi?
Kutomber ni starehe ya wote kama kwako ni lazima ulipie basi demu wako anakuuzia uchi indirectly
Btw acha fikra mgando kwamba tunahudumia kwasababu wazazi wao hawawatunzi.
Wewe ndio una fikra mgando, yaani mzazi unaona binti yako anamiliki vitu vya gharama halafu ukae kimya tu? Utakua mzazi mjinga hata kama anazawadiwa na boyfriend wake lazima umjue uyo boyfriend wa binti yako.
Ukiona binti wa watu anazawadiwa vitu vizuri usiwe na wivu. Ni muda wake, ana miaka 15 tu ya kutamba. (Umri 20-35)
Sikatazi kumpa zawadi demu wako lakini iwe hiyali, kama unawekewa masharti kwamba lazima utoe izo zawadi ndio upewe penzi na wewe unaona sawa tu basi wewe ni bwege nasisitiza tena wewe ni bwege
Women want stable & generous men. Matunzo ya wazazi, fedha zake mwenyewe hazihusiki katika hili.
Before they demand such man they have to make sure they are stable and generous first otherwise everyone have to date his/her class. Demu jobless, K ipo nyang'anyang'a, hana ramani yoyote ya mustakabali wa maisha yake halafu anataka stable and generous man.!
 
Sasa shehe unataka uwe unapewa Ulumbuzi bure?
Sina shida na wanaouza. Kama anauza aweke wazi pale pale anapokua approached kwa mara ya kwanza aseme anauza tukubaliane bei twende lodge tukamalizane huduma yake ikinifurahisha nitamtafuta siku nyingine nitakapomuhitaji, kesho na keshokutwa kaishiwa gesi, kodi, luku, hana hela ya kusuka, kuna nguo kaipenda dukani hayo mimi hayanihusu kwa sababu tulivyolala pamoja nilishamlipa hela tuliyokubaliana
 
Back
Top Bottom