Msaada wa chakula cha siku moja.... Kwa mihula yote katika mwaka. Nafikiri wa-review strategies za misaada yao.Hawa jamaa wao wamekijika kwenye kuinua ubora wa elimu mashuleni na moja ya program zao ni kusaidia chakula mashuleni kwa sababu wamebaini ni tatizo kubwa kwa wanafunzi kukaa shuleni tokea saa moja asubuhi mpaka saa kumi bila kula... So hawawezi kwenda kwenye Magereza coz it's not targeted people..
Inashangaza na kusikitisha kwa wakati mmoja.Nyama ya siku moja inaongeza shavu? Hii nchi umaskini umezidi kipimo, yani mtu serious karne ya 21 nchi ina miaka 60 imepata uhuru analilia nyama za siku moja aongeze shavu.
Alafu aliyewaambia nyama ni lazima sana mwilini nani, kwani vegs hawaishi. Au protein ni lazima iwe nyama tu? Mkoa wenyewe ni Arusha kuna nyama kibao alafu wanatokea Waarabu wanalazimisha mpaka kuja kwenye vikao kuhakikisha watoto wanakula "SADAKA". Upuuzi
Ni nani aliwaomba huo msaada wa nyama?Mkuu huo ni msaada tu ni hiari ule au uache ila sio akili kumpangia mtu kwa pesa yake akufanyie nini.
Kama wana shida ya ukuta wangeomba wajengewe ila sio mtu kaja anakupa kitu chake hajachukua hata mia yako unaanza kumpangia vipaumbele vyako kwenye shida zako sasa inahusiana vp? we acha mwenye kutaka kula hiyo nyama atakula mwenye kusubiri ajengewe ukuta asubiri ni simple tu.
Msaada inalazimishwa? Wamepeleka msaada, umekataliwa. Sasa hao kosa lao nini? Si wapeleke watapokubaliwa?Muhimu hapo ni kutafuta cha kwako tu na sio kuanza kupanga usaidiwe nini itakuwa vichekesho.
Lakini sio lazima kukubali hiyo sadaka pia ,, nadhani Kama kweli wanalengo la kutoa sadaka Basi walau wange wajengea visima vya maji , Who knows kuhusu usalama wa hizo nyama na usalama wa Afya za hao watakao pewa !?
A shit hole indeedIkumbukwe kuwa Wazungu wa Marekani pia wameshatoa mabilioni ya fedha kwa ajili ya lishe mashuleni.
Hapo napo watazuka watu wa kudai hao ni Freemasons, wengine watasema hivyo vyakula vinaharibu akili za watoto!
Wakiambiwa kuchanga watoto wao wale wanasema eti, 'walimu watakula' hatuwezi kuchanga!
Watoto wanakaa na njaa kutwa mzima. Wakifeli walimu hawafanyi kazi!
Afrika is shit hole!
Msaada sio lazima uombe ila pia sio lazima kuukubali, hata hivyo neno sahihi ni sadaka.Ni nani aliwaomba huo msaada wa nyama?
Wapo waliyokubali na wamechukua nyama na hakuna aliyelazimishwa kwa wale ambao hawakutaka.Msaada inalazimishwa? Wamepeleka msaada, umekataliwa. Sasa hao kosa lao nini? Si wapeleke watapokubaliwa?
Majini asili yao ni malaika.waarabu na majini , imani ngumu hii mara mtupe mawe ! ngumu kumeza.
Unawasifia kukataa msaada wa nyama wakati wameomba msaada wa kujengewa ukuta, muhimu tukatae misaada yote hadi ya wazungu ili ndio tuweze kujitegemea ila sio unaletewa msaada wa condom unakubali ila sadaka ya nyama unaikataa.Hapo wananchi wako sahihi kupata msaada. Japo habari ya kafara wanajua wao. Misaada inatulemaza sana na humu duniani hakuna cha bure.
Hiyo ni sadaka tu kuhusu misaada mbona wanajenga sana visima vya maji na mambo mengine, humu kuna mitizamo ya tofauti za kiimani na hasa watoaji wenyewe ni waarabu ndio kabisa.Msaada wa chakula cha siku moja.... Kwa mihula yote katika mwaka. Nafikiri wa-review strategies za misaada yao.
The output is almost negligible.
Nilikuwa nimesahau msaada wa Condoms 😭Unawasifia kukataa msaada wa nyama wakati wameomba msaada wa kujengewa ukuta, muhimu tukatae misaada yote hadi ya wazungu ili ndio tuweze kujitegemea ila sio unaletewa msaada wa condom unakubali ila sadaka ya nyama unaikataa.