Wazazi wake wanagoma, nifanyeje?

Magoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
445
Reaction score
72
Nimekuwa na mahusiano na huyu binti kwa miaka 2 sasa nafsi yangu imeridhika naye na tulipanga baada ya yeye kumaliza masomo tuanze mipango ya ndoa, sasa kamaliza masomo yake....aliwaeleza wazazi wake kuhusu mimi na kwamba tunaitaji kupeleka posa kabla ya mipango mingine ya harusi cha kushangaza baba yake aligoma kwamba binti yake ni mdogo (22yrs) kiukweli sina amani coz tunaishi mikoa tofauti na hata kuonana inakuwa kazi sasa kwa sababu yuko home kwao ni ngumu sana kutoka naona kama naweza mkosa kama hali hii ikiendelea kwa muda mrefu. Yeye yuko tayari na ameridhia tatizo ni mzazi wake na ndiye anapaswa kumsikiliza, imefikia hatua nafikiria kumpa mimba ila kwa upande mwingine naona si sahihi. Naomba msaada wenu wa kimawazo kwa sababu hili swala linaitaji ridhaa ya wazazi ili kujenga uhusiano bora na familia yao
 
Ngoja nikakuitie Kaunga nikimkosa namwita gfsonwin...............mimi siko vizuri kimoyo kwa leo
 
Last edited by a moderator:

Kama bado anasoma basi hili la kumpa mimba halijakaa vizuri, lakini kama kamaliza masomo yake na yeye karidhia kupata ujauzito basi kazi kwenu wapendanao...lakini hilo la udogo ni kweli ni bado mdogo ila unaweza kukuta watu wawili wenye umri kama huo mmoja akawa tayari kwa maisha ya ndoa na mwingine akahitaji miaka mingine michache.
 
hapo ni mimba tu, akina baba huwa wana wivu mkali kweli kwa binti zao.
 
Kweni ndoa ni lazima kwenye mazingira kama haya? Amchukue tu aishi naye mzazi mwenyewe atapata akili na kuamua kumuoza kabisa!!! Miaka 22 siyo mdogo aisee!
 
hiyo ya mimba ndo solution, piga mimba hapo, baba mkwe atakutafuta mwenyewe
 
Piga magoti muombe Mungu wako halafu uende tena kwa wakwe Mungu atakuwa amewagusa
 
Hapo ni kitu cha uvimbe tu hakuna jinsi.

Mi mwenyewe................................:.................................................
 
kwa nini ufikirie kumpa mimba ndo suluhisho? Je hapo ndo mawazo yako yamefikia mwisho. Je umeshajaribu kutumia njia mbadala(mshenga kwenda kuzungumza na mzazi wa huyo binti?) kumpa mimba maana yake unataka wazazi wamwozeshe bint yao kwa shinikizo na si ridhaa yao, je unafikiri hata wakikubali utapata zile baraka kama mume? Wazazi watakuona mhuni kwani hakuna mzazi aliyeko tayari kuona mwanae anakuwa na mahusiaono ya kimapenzi nje ya ndoa(japo uhalisia wanajua wanafanya hvyo ila hawapo tayari kusikia au kuthibitishiwa). Fikiria watakuchukulia vp japo watakuruhusu umwoe. Wasikilize hao waze tafuta mshenga anegotiate nao.
 
kamaliza masomo ktk level gan kaka?manake km ni chuo kikuu nadhani huyo ni mtu mzima kabsa,na wazazi wake wanatakiwa waheshimu mawazo yake.
 
Kamaliza chuo au secondary?
 
Ahaaa 2meshafunga mara kibao laikini mzee haelewi kitu anasema after 2/3yrs ndo atasikiliza swala lake
 
Thanks mkuu ila sitaki kumkosa coz wengi wakikaa muda mrefu hawakawii kubadilika na kusikia kuna m2 kamjaza
 

Fanya subira na uendeshe mambo taratibu maadam uko kwenye jambo la kheri muamini mungu.
 

Its better you unaambiwa umri bado, mwenzio naaambiwa lazima nitoke dini yao and huyu ni mtu nimekuwa nae for six damn years!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…