Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Habari wakuu.
Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu.
Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana.
Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia.
Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote
Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu.
Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana.
Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia.
Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote