Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja Mzee wangu karibu Tokyo
Wabongo wengi tukipata kazi,tunawaza kujenga+kununua usafiri..maisha huishia hapo. Tunasubr kustaafu. Watoto nao watajipambania wenyewe. Hyo cycle inaendelea kizazi hadi kizazi..ili uvunje hyo cycle unapaswa kubadili hyo mindset kwanza..Fafanua mkuu
Nimekuelewa Sana mkuu.Wabongo wengi tukipata kazi,tunawaza kujenga+kununua usafiri..maisha huishia hapo. Tunasubr kustaafu. Watoto nao watajipambania wenyewe. Hyo cycle inaendelea kizazi hadi kizazi..ili uvunje hyo cycle unapaswa kubadili hyo mindset kwanza..
Yeah fikiri tofauti mkuu..najua hauta eleweka kuanzia kwenye familia hadi marafiki.Nimekuelewa Sana mkuu.
Hili nalifanyia Kazi
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Piga kazi sana, ridhika na mkeo hao wanawake wa nje chanzo cha umasikini
Picha linaanza kwenye familia sieleweke pili marafiki wa Zamani wote wamenikimbia nimefulia.Yeah fikiri tofauti mkuu..najua hauta eleweka kuanzia kwenye familia hadi marafiki.
Siaende kwani lazima kukaa naye kaam hakutaki usokifosi kwa shetani hiyo siku hakikisha umempakia kila kitu chakeMwanamke anakupenda ukiwa na nguvu za kiuchumi uchumi ukiyumba utatafutiwq sababu hadi aondoke. Umasikini nouma sana
Mimi naangazia tu kwamba mtoa mada kajikita sana kwenye kuweka vizuri uchumi na kufikiri kuwa ukiweka vizuri uchumi migogoro ndiyo unaimaliza.Nimeanza upya kuupiga umaskini Mzee wa
Migogoro sio ya kiuchumi lakini mkuu labda Ile ambayo wanataka kuishi vile wanataka lakini sio vile waishi Elon Musk Anataka.
Au vipi Mzee wa Kazi?
Kwa vipi,?Ukimwoa mwanamke anayekupenda unaishi kwa raha sana au ukiolewa na mwanaume ambaye mnapendana mtaishi na wala hamtafulia nakufilisika
Lack of;Wabongo wengi tukipata kazi,tunawaza kujenga+kununua usafiri..maisha huishia hapo. Tunasubr kustaafu. Watoto nao watajipambania wenyewe. Hyo cycle inaendelea kizazi hadi kizazi..ili uvunje hyo cycle unapaswa kubadili hyo mindset kwanza..
Ata Billgets naye ni masikini mbona wamegawana mali na mkewe?Nimeanza upya kuupiga umaskini Mzee wa
Migogoro sio ya kiuchumi lakini mkuu labda Ile ambayo wanataka kuishi vile wanataka lakini sio vile waishi Elon Musk Anataka.
Au vipi Mzee wa Kazi?
Mi mzee, nimelia sanaAcha kabisa Mzee wangu
Ni nusu ya ukafiri.Umasikini mbaya sana 😔