Bado haujasema.Habari wakuu.
Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu.
Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana.
Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia.
Kummake umasikini.
Kaanzisha uji JFPole sana, umefikia wapi mpaka sasa kuupiga vita umasikini?
Mwanamke anakupenda ukiwa na nguvu za kiuchumi uchumi ukiyumba utatafutiwq sababu hadi aondoke. Umasikini nouma sanaMimi siyo Tajiri ila chanzo cha ugomvi kwa familia nyingi asilimia 80 ni umasikini
Nimeanza upya kuupiga umaskini Mzee waPole sana, umefikia wapi mpaka sasa kuupiga vita umasikini?
Migogoro sio ya kiuchumi lakini mkuu labda Ile ambayo wanataka kuishi vile wanataka lakini sio vile waishi Elon Musk Anataka.Mkuu,
Unaelewa kuwa hata familia ya Elon Musk tajiri wa kwanza duniani ina migogoro kibao?
Nimeanza upya kuupiga umaskini Mzee wangu