Wazazi wanavyochangia umasikini

Wazazi wanavyochangia umasikini

Paul Timoth

New Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
1
Reaction score
8
Wazazi ni watu muhimu sana kwani wao ndio chanzo cha watoto ambao ndo utajiri wa Mungu, lakini haimaanishi kwamba kila wasemacho, wafanyacho na waamuacho ni sawa kwa sababu hua wana tabia ya kuamulia vitu watoto hao ambapo ni jambo zuri ila endapo amuzi ni sahihi.

Malezi ya mtoto huonyesha picha ya maisha yake ya baadae hivyo namna ya makuzi ya wazazi walio wengi kwasasa inaonesha madhara yake ambapo vijana wanalalamika hakuna ajira, hili ni kosa kwani wazazi wanatukuza kwa mtiririko au series ya maisha ambayo ndo inapelekea hali hii.

Wazazi walio wengi huwaambia watoto wao wasome, wafaulu vizuri, watafute ajira kwa maana nyingine huwafundisha watoto cha kufikiria na sio namna ya kufikiria ambapo hili ndo jambo la msingi ambalo litsaidia kujikwamua kiuchumi.

Tukufundishwa namna ya kufikiria ndio itakua rahisi kuweza kaweka katika vitendo yanayofundishwa mashuleni kwa mfano wanafunzi wa masomo ya sayansi wanafundishwa kuhusu umeme lakini unakuta shule yao ina matatizo ya upungufu wa umeme Jambo ambalo ni la aibu kubwa.

Wazazi wakiweza kufundisha watoto wao namna ya kufikira, kusikiliza maoni yao na kuonesha kujali katika jambo lolote dogo analofanya mtoto hata kutengeneza gari la bokilsi na kutampa mtoto ari ya kufikiria kitu kingine na kutengeneza kitu kingine tena na hapo sasa maendeleo ya kiuchumi ma teknolojia yatakua nje nje.
 
Sisi wanadamu ni waajabu sana

Hapo Evelyn Salt unataka huyu bwana adanganye ili tu atoe maneno ya kinafiki

Huyu bwana katoa proper assessment ya baba yake kwa hali halisi aliyo experience yeye kwa huyu mtu na hawezi danganya

Wewe unataka kumjaza hofu adanganye ili kufurahisha jamii wakati ni uongo na unafiki

Tujifunze kuspeak our minds truthfully bila kudanganya na bila kujali wanaosikiliza watajisikiaje

Na wasikilizaji wajue wanasikiliza true assessment za muongeaji na kukimbilia waambiwe unafiki ili wajisikie vizuri

Muacheni aaongee ukweli bila aibu au kudanganya
Okay sawa....
 
Sisi wanadamu ni waajabu sana

Hapo Evelyn Salt unataka huyu bwana adanganye ili tu atoe maneno ya kinafiki

Huyu bwana katoa proper assessment ya baba yake kwa hali halisi aliyo experience yeye kwa huyu mtu na hawezi danganya

Wewe unataka kumjaza hofu adanganye ili kufurahisha jamii wakati ni uongo na unafiki

Tujifunze kuspeak our minds truthfully bila kudanganya na bila kujali wanaosikiliza watajisikiaje

Na wasikilizaji wajue wanasikiliza true assessment za muongeaji na kukimbilia waambiwe unafiki ili wajisikie vizuri

Muacheni aaongee ukweli bila aibu au kudanganya
Huwezi tumia lugha hyo huenda walikuwa na mitazamo tofaut tu lakin mzazi huwez kumuita mzazi mjinga
 
Mkuu

Wanadamu wote sio sawa

Baba wote sio wana akili kama unavyodhani

Infact wababa asilimia kubwa ni wapumbavu kama wapumbavu wengine duniani hapa

Huyu bwana katoa proper assessment aliyo experience na huyo baba yake

According to him,huyo baba didnt do a great job in raising them..na yeye katoa truth
Iko Hivi mkuu utadhaa mtoto na mtakuwa na mitazamo tofaut na atakuita mpumbavu pia

Mzazi ni mzazi angeangalia lugha sahihi ya kulifikisha hili au ndo amelelewa na single mom et
 
Unataka atumie lugha ya kinafiki?

He didnt do a great job in raising them,unataka kusema aseme he did a great job on his kids wakati si kweli?
He Did he did what's KUWENI NA ADABU TUMIENI LUGHA SAHIHI KAMA KWEL NYIE AMTAKI UNAFIKI MWAMBIENI SAMIA UKWELI EEH SI AMTAKI UNAFIKI
 
Wazazi ni watu muhimu sana kwani wao ndio chanzo cha watoto ambao ndo utajiri wa Mungu, lakini haimaanishi kwamba kila wasemacho, wafanyacho na waamuacho ni sawa kwa sababu hua wana tabia ya kuamulia vitu watoto hao ambapo ni jambo zuri ila endapo amuzi ni sahihi.

Malezi ya mtoto huonyesha picha ya maisha yake ya baadae hivyo namna ya makuzi ya wazazi walio wengi kwasasa inaonesha madhara yake ambapo vijana wanalalamika hakuna ajira, hili ni kosa kwani wazazi wanatukuza kwa mtiririko au series ya maisha ambayo ndo inapelekea hali hii.

Wazazi walio wengi huwaambia watoto wao wasome, wafaulu vizuri, watafute ajira kwa maana nyingine huwafundisha watoto cha kufikiria na sio namna ya kufikiria ambapo hili ndo jambo la msingi ambalo litsaidia kujikwamua kiuchumi.

Tukufundishwa namna ya kufikiria ndio itakua rahisi kuweza kaweka katika vitendo yanayofundishwa mashuleni kwa mfano wanafunzi wa masomo ya sayansi wanafundishwa kuhusu umeme lakini unakuta shule yao ina matatizo ya upungufu wa umeme Jambo ambalo ni la aibu kubwa.

Wazazi wakiweza kufundisha watoto wao namna ya kufikira, kusikiliza maoni yao na kuonesha kujali katika jambo lolote dogo analofanya mtoto hata kutengeneza gari la bokilsi na kutampa mtoto ari ya kufikiria kitu kingine na kutengeneza kitu kingine tena na hapo sasa maendeleo ya kiuchumi ma teknolojia yatakua nje nje.
𝚜𝚊𝚑𝚒𝚑𝚒
 
Nami nitoe ya moyoni ila madingi wengi miyeyusho.
Kuwa mzazi haimaanishi unajitenga na ujinga na upumbavu.
Hata wajinga na wapumbavu wanatoa sperm na kuzalisha na wana zeeka pia so ukiona mtu mzima ana mvi na watoto na bado watoto wake wanamchukulia poa ujue hajitengi na hivyo vitu.
 
Nchi yetu ni nchi inayoendelea. Tumetoka enzi hizo tukiwa na barabara za vumbi, simu za kukoroga, barua za kirafiki, unga wa yanga n.k na sasa vijana wanasema vibaya wazazi. Mzazi hana tatizo na hela ila kuwa karibu naye wakati wa uzeeni.
 
Tatizo linapoanza ni kuzaliwa na mzee ambae ni mjinga na Zaidi kujifanya ni mjuaji.
Kuzaliwa na mzee mjinga sio kigezo cha mtu kuwa masikini,hapo ni SAwa na kusema nchi ni masikini sababu ya ukoloni.Hizi factor hazina uhusiano kabisa
 
Sisi wanadamu ni waajabu sana

Hapo Evelyn Salt unataka huyu bwana adanganye ili tu atoe maneno ya kinafiki

Huyu bwana katoa proper assessment ya baba yake kwa hali halisi aliyo experience yeye kwa huyu mtu na hawezi danganya

Wewe unataka kumjaza hofu adanganye ili kufurahisha jamii wakati ni uongo na unafiki

Tujifunze kuspeak our minds truthfully bila kudanganya na bila kujali wanaosikiliza watajisikiaje

Na wasikilizaji wajue wanasikiliza true assessment za muongeaji na kukimbilia waambiwe unafiki ili wajisikie vizuri

Muacheni aaongee ukweli bila aibu au kudanganya
Sio kweli mkuu.
Mzazi ni njia tu ya wewe kuja duniani,kuhusu swala la kimaendeleo duniani ni juhudi zako mwenyewe,hakuna excuse katika hilo.
Kuna vijana wangapi wamezaliwa katika familia za hao wazazi mnaowaona ni wajanja lakini hawana mbele wala nyuma.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Unafeli sana

Nani kakwambia kafeli?

Yeye katoa assessment ya mzazi wake,ni mbaya na sio nzuri hawezi danganya

Sijui mafanikio wewe kwako ni nini hasa?
Mzazi wako amekuzaa,wewe unaweza kumzaa?angeamua kukupigia punyeto ukaishia chooni tu huko ungepata wapi hiyo nguvu ya kushika hiyo simu yako kuanza kumlaumu huku

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ulichojibu hakina mahusiano na nilichoandika

Kufaulu au kufeli kwa mtoto ni 80% kazi ya mzazi kutoka age 0 - 18......

Bila wazazi ni ngumu mtoto kufanikiwa

Hata hao exceptions waliofanikiwa unaowaona na kuwasemea infact hawajafanikiwa,still wana trauma regardless

Kuondoa trauma ya matatizo ya kutokua na wazazi wawajibikaji na wewe ulipokua mtoto ni kazi ngumu mno

Hao waliofanikiwa,wana hela zimejaa benki ila bongo zao zimejaa trauma za childhood...kuzitoa ndio kitendawili

Wazazi wasiowajibika kwa watoto wao ni mashetani kabisa regardless
Hebu weka wazi ni kosa gani ambalo ulifanyiwa kufikia hatua ya kumuita mzazi wako mjinga.
Labda kama walikuzaa wakakutupa mtaani na kuwa chokoraa hapo kidogo inaweza kumake sense.
Lakini kama walikulea hadi ukafikia kuwa mtu mzima hakuna reason ya kuwatukana bado utaonekana wewe ndio mwenye dosari kichwani

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Kuzaliwa na mzee mjinga sio kigezo cha mtu kuwa masikini,hapo ni SAwa na kusema nchi ni masikini sababu ya ukoloni.Hizi factor hazina uhusiano kabisa

mfano ulioutoa hauendani kabisa.
Na pia malizia maelezo yangu ya mwisho niliyoyaeleza, inaonekana hujakutana na wazazi wajuaji wanajifanya wao ndio wana maarifa wakati ni madebe matupu.
 
Sisi wanadamu ni waajabu sana

Hapo Evelyn Salt unataka huyu bwana adanganye ili tu atoe maneno ya kinafiki

Huyu bwana katoa proper assessment ya baba yake kwa hali halisi aliyo experience yeye kwa huyu mtu na hawezi danganya

Wewe unataka kumjaza hofu adanganye ili kufurahisha jamii wakati ni uongo na unafiki

Tujifunze kuspeak our minds truthfully bila kudanganya na bila kujali wanaosikiliza watajisikiaje

Na wasikilizaji wajue wanasikiliza true assessment za muongeaji na kukimbilia waambiwe unafiki ili wajisikie vizuri

Muacheni aaongee ukweli bila aibu au kudanganya
Kwa sisi waumini wa dini tunaamini mzazi ni Mungu wa pili.yaani kama umediliki kuuona ujinga wake hakuna kitu ambacho hujashuhudia kutoka kwake bado.
Huna tofauti na wale watoto wanowaambia wazazi wao"ungechelewa ningekuzaa mimi".

Sijui ni shule kiasi mnazopitia kuwazidi wazazi wenu!!sijui ni pesa kiasi mnazopata kuwazidi wazazi wenu!!ama vitambi zaidi kuwazidi??

Njia pekee ya kuufichua ujinga wa mzazi ni kutenda bora kwa wanao kumzidi,sio kumwongelea.
 
Back
Top Bottom