Wazazi wenye Wachezaji hawa wafuatao wa Yanga SC waonyeni wasikubali kubebeshwa ' Hirizi ' mtawakosa


Wazee wa kulogaa ? Mkuu we hatari Nimeona vitu yako kwa mchina Léo.
 

Attachments

  • IMG_1524936423618.jpg
    20 KB · Views: 28
Mkuu kwa jinsi ninavyokufahamu na kukuheshimu this is too low for you. Please next time usilete vitu vya namna hii kwenye forum hii. Samahani lakini!!!
 
IVO MAPUNDA.

MKATOLIKI WAKUTUPWA. ALIYAONA HAYA NDA YA WIKI 3 ALIZOCHRZEA SIMBA SC.
 
Una uhakika kwamba huko Ulaya hawarogi? Ni mara ngapi tumeshudia Mipaka Shume ikikatiza bila aibu katika mechi za Arsenal, Bayern na hata Barcelona? Wale Nguchiro nao huwa wanatokea wapi? Acheni Unafiki hapa.
Ila si tumezidi
 


"....ambao ni wakristo..." .....kwani kuna dini nyingine zinaruhusu mambo hayo ya 'hirizi'!!!???? Kuweni makini mnapotoa au kuleta humu 'posts' zenu
 
Kuroga kote huku na mikwara yote hii,tumeshinda kimoko tu? au kn aliyetuhujumu?
 
"....ambao ni wakristo..." .....kwani kuna dini nyingine zinaruhusu mambo hayo ya 'hirizi'!!!???? Kuweni makini mnapotoa au kuleta humu 'posts' zenu
Hahaha mleta Mada maybe anajua zaidi mkuu,si unaona post ilivyoshiba mbwembwe?
 
Sema mmeshindia uwezo, mna timu nzuri japo sio kiivyooo!
Ingekua ushirikina unafanya kazi basi yanga isingebeba ubingwa mfululizo hadi tumeukinai, tumewaachia na nyie mtambe kidogo,
Sisi nguvu zetu tumewekeza kimataifa zaidi ili tubebe ubingwa wa kombe la shirikisho. Viva Yanga.
 
Kuroga kote huku na mikwara yote hii,tumeshinda kimoko tu? au kn aliyetuhujumu?

Hata Mwanamke ' unamkanyaga / unamfanya / unamngono / unamtindua / unambaioloji ' mabao mengi lakini la Mimba siku zote huwa ni Moja tu na bahati nzuri leo Bao hilo moja la Mimba limetua kwa Mke Wetu Mrs. Yanga SC kupitia Mkuyenge Nyoni.
 
Una uhakika kwamba huko Ulaya hawarogi? Ni mara ngapi tumeshudia Mipaka Shume ikikatiza bila aibu katika mechi za Arsenal, Bayern na hata Barcelona? Wale Nguchiro nao huwa wanatokea wapi? Acheni Unafiki hapa.
Huo mpira unaangalia mwenyewe kwenye tv za beseni huko kilingeni kwako?
Cjawahi ona hata nzi anakatiza mechi za ulaya, hizo ulizoona mipaka ni timu za uswahilini kwako zenye majina ya hizo timu
 

Hii huwa tunaiita ' Sizitaki Mbichi Hizi ' Mkuu.
 
Hii huwa tunaiita ' Sizitaki Mbichi Hizi ' Mkuu.
Mi wala ckua na presha, nilivyoona mvua tuu nkajua Mganga wenu mkata ushanga keshafanya yake.
Ila mnaifunga yanga tuu, ila waarabu wanawashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…