Wazazi wenza...!

Hii thread mngetuachia sisi tuliopata mtoto kabla ya ndoa, nawashauri msije mkafanya makosa haya tuliofanya sisi. ni mateso bila chuki.
 
nampenda because he is one of the writers ambao wananifanya nielewe men's mind zaidi...


duh.....
Pole sana....

But tatizo sio kwamba hamtuelewi
tatizo ni kuwa tupo wired differently....
Na baadhi ya mambo yako beyond our control
 
Michelle Michelle... mambo gani tena haya...

usiku mwema dearest,naona frustration zangu binafsi nataka zimu-influence Lizzy kwenye decision yake....i just love her,thats it,sitapenda kutomuona au kitu ki-mbadilishe.....nafikiri alipo ana maisha mazuri na ameridhika na ndo maana anakuwa useful kwetu,binafsi naogopa sana ndoa kwa kuwa wengi walioko hawanishuhudii raha,so najua any psychological disturbance will not be good for her & us....sweetdreams!!:A S-rose:
 

Mtoboasiri tatizo hapa sio mwenye ndoa bali aliyepo nje...
 
kumbe sionekani???
Ngoja nitumie mkorogo lol

Hahahhahh!We sogea tu uongee na mimi!!

Jamani sasa ikibidi nichague kati ya partner na dearest ntafanyaje?!Dearest nenda kalale mwaya sio leo wala kesho ntaachana na hii club yetu...yani bado nipo nipo mpaka utakaponifukuza!!

Partner fanya mambo nianze kumuandaa huyo mtarajiwa ili tukiingia tusigombanie mlango kutoka!!
 
Hii thread mngetuachia sisi tuliopata mtoto kabla ya ndoa, nawashauri msije mkafanya makosa haya tuliofanya sisi. ni mateso bila chuki.
Pole kaka/dada....tupe basi eksipiriensi tujifunze .....!
 
duh.....
Pole sana....

But tatizo sio kwamba hamtuelewi
tatizo ni kuwa tupo wired differently....
Na baadhi ya mambo yako beyond our control


Ndio... but at least inanifanya niwe na idea... Through Puzo nimejifunza a guy is interested in a sport... do not disturb him for the attention you seek at that time will be useless his mind wont be with you.... Sio kwamba katoa guidelines but you get that by reading his stories..
 

michelle
unafahamu kwamba maisha yako ya mahusiano
yanakuwa influenced zaidi na watu around you??????

Ukiwa na marafiki walio dirvoced very likely na wewe uta dirvoce
and vice versa...
 


You are a good person Michelle... naamini kesho ungemrudisha kwenyer mstari....
 


unajua the godfather the book ilikuwa inaitwa
the sum of all wisdom na recommended kwa kila mwanaume...

Now wewe unanifanya nione maybe na kila mwanamke asome vitabu vya mario puzo...
 
unajua the godfather the book ilikuwa inaitwa
the sum of all wisdom na recommended kwa kila mwanaume...

Now wewe unanifanya nione maybe na kila mwanamke asome vitabu vya mario puzo...


Hata kama wewe ndo BOSS hapa acha kuchakachua bana!!!Alafu na wewe unasomaga kumbe?!Kesho nakuja usome mi nisikilize!!
 
Hii thread imeshachakachuliwa. ombi kuna sehemu ya kuchart hapa JF haipendezi maongezi yenu binafsi kuyaleta kwenye thread ya mtu.
 
<br />
<br />



Lizzy Leo Umenishika Pabaya sana,nahisi Umeziminya korodani zangu,kulia nashindwa kucheka nashindwa,am just on tenterhook knowing not what to do!!
UMENIGUSA!! Mimi nimezaa na Mwanamke mmoja wa Kichaga watoto wawili,wa kwanza nilimzaa nikiwa na Miaka 24 na Wa Pili nikiwa na Miaka 25, I am 29 years old now approaching 30;the first one is 5 yrs old the second is 4 yrs!! Ni hadithi ndefu kidogo lakini kifupi sikuwa nimepanga kuishi na huyu Mwanamke wala kuzaa hawa watoto during then!! I wudnt like to go into details but Sikuwahi kumpenda huyu Mwanamke(Ilikuwa Uhuni wangu tu) na wala simpendi sasa but I LOVE THE KIDS ILE MBAYA,I TAKE CARE OF THEM,I GV THEM MY LOVE,MY TIME AND MY SUPPORT!!
Natazamia kumwezesha huyu Mwanamke kama uwezo utaruhusu kumjengea nyumba na kumpa some small business ili asimame mwenyewe!! Its hard to live with someone u dnt love although sijawahi kum-mistreat!! On the other hand wala sijampata wala kumtafuta mwanamke wa Kumpenda!!

Wasiwasi wangu Mimi sio kusumbuliwa na huyu Mama wa watoto wangu,hilo haliwezekani hata kwa sekunde,naujua uwezo wangu wa kudhibiti hila na Usimamizi!!!
Wasiwasi wangu siku zote umekuwa kama huyo Mama mtarajiwa atawapenda na kuwakubali watoto wangu na nitapenda niishi nao coz wanakamilisha Furaha yangu hapa duniani!!

Nitajitahidi kuwa-influence watoto wampende Mama mtarajiwa na nitaweka mikakati kabisa ya makusudi kabisa kutimiza azma hiyo e.g Nitafanya kadri ionekanavyo ionekane kama Yeye(Mama mpya) ndiyo anaewanunulia zawadi zawadi,mavazi n.k pamoja na kumsifia frm time to time kuhusu jinsi anavyowapenda!!
Kwa upande wa watoto sina shaka,kwa sababu ni watoto wangu najua nitawamudu,TATIZO huyo wa Mama Mtarajiwa,sijajua what i will do in case she shows signs of indifference to them!!
When It comes to my Children,i can go miles to defend them!! Please advise people!!
 
Tumaini jipya kitu cha kwanza nnachoweza kukushauri my dear brotha ni ukikutana n mdada unaedhani mnaweza kua pamoja mbeleni hata kama hujapanga kumtokea mweleze ukweli wako wote.Kua mkweli katika hali ya kutaarifiana kuhusu maisha yenu...ukiwa na bahati anaweza akakwambia yeye anaonaje ishu ya kulea watoto wa mwenzie kama maongezi ya kawaida tu...ukishajua hata siku ukija jikuta umemdondokea utajua kama mtawezana au la....pia dada nae hatosita kukukatalia kama hawezi kutekeleza hilo kinadharia!!Pili usisahau kumwomba Mungu akutumie mtu mwelewa na mwenye moyo wa uvumilivu ili maisha yasiwe na milima mingi sana....zaidi ya hapo kila la kheri!Ntakuombea umpate wa kukufaa wewe na wanao...na wewe umfae pia!
 
Ndoa hizi ambazo mmoja ana mtoto huwa zinachanganya sana wanandoa hasa yule mzazi mwenza anapoingilia, mie nashangaa huyu mwanamke aliyeachana huwa anakuwa na maisha yake na mtu mwingine , huku bado anataka amshikie mwenzake balls zake, hapa mwanamme asipokuwa makini ndoa inayumba haswa, mwanaume kuwa na mipango na mipaka na umwonyeshe mzazi mwenzako hutaki akuingilie kwenye maamuzi yako.
Kuhusu shule unaweza ukawa unalipa moja kwa moja kwenye account ya shule kuepusha usumbufu kama mwanamke anakuwa na tamaa. Mie nashangaa mwanamke utahamisha watoto wako shule nzuri sababu ya pesa kweli?
 
Still....i feel like something is missing!

In summary: How mwanaume -na mwanamke for that matter- anajiandaa depends na watu wenyewe wakoje, wameamuaje na wako commtted how much to make their intended marriage work. Au unashauri maandalizi yaanze baada ya ndoa? Au sijui kiswahili kilichomo kwenye swali lako nililowekea red???
 
<br />
<br />

Asante sana kwa Ushauri wako Lizzy!! Sio majivuno wala kijisifu ila nina hakika kwamba nitakuwa Mume Mzuri(km mtu ambaye sikupanga kuishi naye na nimekaa naye kwa amani,itakuwa zaidi kwa mtu ambaye kutakuwa na Mutual agreement),kuhusu kuwa responsible father,hapo pia sina shaka pia,Namshukuru Mungu,For me to love is my natural inclination!!
Once again,Thank u for ur advice although i must admit that i wish u were that "dream" woman of mine!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…