Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Una deal nayo kivipToka nimefungua Instagram nadeal sana na mahusiano sijui kwanini!..
Wewe wa kwako mmeishia wapi?Natumaini wote mu wa wazima wa afya. Kwa wale wenye matatizo ya hapa na pale ninawaombea wapate nafuu.
Swali langu ni hili, hivi yule mpenz wako mliekuwa mnaongea nae usiku kucha mpaka simu inakuwa ya moto kama pasi ya PHILIPS ndoa yenu imefikia wapii..Nimeuliza tuu jamanii sijamtaja mtu
Hata sijui waliko
ni mke wanguuu yupo mkoa mmoja na familia nami niko mkoa mmoja nafanya kaziNatumaini wote mu wa wazima wa afya. Kwa wale wenye matatizo ya hapa na pale ninawaombea wapate nafuu.
Swali langu ni hili, hivi yule mpenz wako mliekuwa mnaongea nae usiku kucha mpaka simu inakuwa ya moto kama pasi ya PHILIPS ndoa yenu imefikia wapii..Nimeuliza tuu jamanii sijamtaja mtu
Hongereni sana bishoana mimba ya miezi 7 m
Hongerenini mke wanguuu yupo mkoa mmoja na familia nami niko mkoa mmoja nafanya kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa naona wamaliza soli za viatu na watunga mashairi kupitia barua hapatuhusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni wale wa kizazi cha kuandikiana barua,ila ngoja nimuite aje kujibu swali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usicheke bibie, hebu funguka hapa jamaa aliyekua anapatisha kimeo chako moto siku izi yuko wapi? (Nimemsaidia mleta mada)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimpatia love connect ?Tumetimiza miaka miwili (2) ya ndoa, tumepata mtoto, Mke wangu tulifahamiana jamii forum.
Sent using Jamii Forums mobile app