Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Natumaini wote mu wa wazima wa afya. Kwa wale wenye matatizo ya hapa na pale ninawaombea wapate nafuu.
Swali langu ni hili, hivi yule mpenz wako mliekuwa mnaongea nae usiku kucha mpaka simu inakuwa ya moto kama pasi ya PHILIPS ndoa yenu imefikia wapii..Nimeuliza tuu jamanii sijamtaja mtu
Swali langu ni hili, hivi yule mpenz wako mliekuwa mnaongea nae usiku kucha mpaka simu inakuwa ya moto kama pasi ya PHILIPS ndoa yenu imefikia wapii..Nimeuliza tuu jamanii sijamtaja mtu