Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!. Nimecheka sanaAina ya chululuuuuu
It’s a Black Mamba (Dendroaspis polylepis). Highly venomous elapid with a fast acting neurotoxic venom. General appearance and head shape indicates it.he has death smile and a length also. Not only that has got a shape of deroaspis polylepis. Mkibisha ni nyie mmeamua although huyu sio mkubwa to the maximum ni saizi ya kati ila sumu ipo palepale .Eti huyu nyoka anaitwaje?
Chululuuu si tumbua mkuu??😂😂Aina ya chululuuuuu
Huyo mwenyewe huyo.Huyo ni black mamba
Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.Eti huyu nyoka anaitwaje?
Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.
13/12/2021Eti huyu nyoka anaitwaje?
Yes it's black mamba.Huyo ni black mamba
Siku hizi kiswahili kinakupiga chenga.Kama ni sawa walivyosema waliotangulia "black mamba", Kiswahili anaitwa koboko kama sikosei.
Wanasema ni nyoka hatari zaidi duniani kwa sababu ana tabia za kushambulia pasi na kuchokozwa, ana sumu kali sana, haachi meno yake akigonga, kwa hiyo ana uwezo wa kugonga watu au wanyama hata 100 wakiwa karibu nae.
Pia ana mbio kuliko nyoka yoyote.
Tujikinge sana na nyoka hao na wengine.
Wa hatari zaidi kuliko huyo koboko ni binaadam mwenzetu.
Ya simu ya kawaidaUmetumia camera gani kumpiga picha