Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Wanapewa... mpango wa kunusuru kaya maskiniWapi prove?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapewa... mpango wa kunusuru kaya maskiniWapi prove?
Shukran, kwa hii 'invitation' yako lazima ntafika huko chit chat. Wanaopatwa na stress za hapa jf watakuwa wana stress zao tu hata waende wapi. Ila si wazo mbaya ku'have fun', maisha ni mafupi sana.Hehehe karibu,,nyie mmekazana na mavitu magumuu sie hatutaki bana yanatuongezea stress karibu kule no stress
Hahahhhhh.........ya nini kulazimisha kutakatisha kaniki wakati ndo rangi yake...., nakumbuka mwaka 2003/4 walikuja kijijin kwetu hao watu wa tasaf na mpango wa kuleta umeme wa jua kwa gharama nafuu....wakaimiza watu wajiandikishe na kutoa kiwango cha elf 50 kila kaya, watu wakajitokeza kwa wingi na kuanza kulipa kidogo kidogo wazee kwa vijana, mpaka waleo hakuna nyumba iliyopokea sola na ela washapiga......Tanzania hayo mambo yapo muda mrefu tena kwa watu wote wale wenye shida sana wanapewa pesa za kujikimu kila mwezi bureee, inaitwa tasaf
Pole kwa hao ambao hawakupewa hizo solar, lakini tasaf ni taasisi ya serikali, chini ya ofisi rais. kwa nini hao ambao walichangishwa pesa wasilalamike ili wahusika wawajibishwe?Hahahhhhh.........ya nini kulazimisha kutakatisha kaniki wakati ndo rangi yake...., nakumbuka mwaka 2003/4 walikuja kijijin kwetu hao watu wa tasaf na mpango wa kuleta umeme wa jua kwa gharama nafuu....wakaimiza watu wajiandikishe na kutoa kiwango cha elf 50 kila kaya, watu wakajitokeza kwa wingi na kuanza kulipa kidogo kidogo wazee kwa vijana, mpaka waleo hakuna nyumba iliyopokea sola na ela washapiga......
Sawa, mkuuu....ila tuu ujanja ujanja mwingi sana....kwenye mambo ya pesaPole kwa hao ambao hawakupewa hizo solar, lakini tasaf ni taasisi ya serikali, chini ya ofisi rais. kwa nini hao ambao walichangishwa pesa wasilalamike ili wahusika wawajibishwe?
BTW, huo mwaka 2003 hiyo ilikuwa ni Tasaf 1, ipo 2 na hii ni tasaf 3. zote zina utekelezaji tofauti.
Wakati wa tasaf1, hakukuwa na suala la kunusuru kaya maskini, kwenye tasaf3, ndo kaya maskini zinanusuriwa kwa kupewa ruzuku na mambo mengine.
Tafadhali usiwe mchovu wa kusoma, pitia post #33 nimeweka links za vielelezo khs kinachofanyika.
Sawa, mkuuu....ila tuu ujanja ujanja mwingi sana....kwenye mambo ya pesa
Kauli za nyang'au hizi. You have seen the light brother.Pesa ndo kila kitu
Nenda kashtaki sasa wewe huoni kama huo ni utapeliHahahhhhh.........ya nini kulazimisha kutakatisha kaniki wakati ndo rangi yake...., nakumbuka mwaka 2003/4 walikuja kijijin kwetu hao watu wa tasaf na mpango wa kuleta umeme wa jua kwa gharama nafuu....wakaimiza watu wajiandikishe na kutoa kiwango cha elf 50 kila kaya, watu wakajitokeza kwa wingi na kuanza kulipa kidogo kidogo wazee kwa vijana, mpaka waleo hakuna nyumba iliyopokea sola na ela washapiga......
Kha! Tuambie wanapewa sh ngapi?