Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe

Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
Mhadhara - 35:
Unamkuta mtu tangu amezaliwa ameishi maisha magumu, ugumu wa maisha umemtafuna kwa miaka 50. Anaanza kufanikiwa (kushika pesa) akiwa na miaka 51 baada ya kuuza shamba lake la miti. Sasa tazama vituko vyake mjini!

Mnashangaa!! Huyu mzee mbona anafanya mambo ya kitoto mtaani ambayo hayaendani na umri wake? - Kumbe mwenzenu aliruka hatua nyingi za ukuaji hivyo matukio mengi yalimpita kutokana na ugumu wa maisha.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuwa na hela hivyo mabinti walimkataa, na kwa bahati mbaya hata ule umri wa kucheza KOMBOLELA mabinti walimkwepa hivyo alikuwa akijificha porini na kwenye mapagala pekee yake. Sasahivi amepata hela analipiza hatua aliyoiruka - analala na vibinti vya miaka 18 - 20.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuweza kunywa pombe za maana kutokana na umasikini. Sasahivi ameshika pesa analipiza hatua aliyoiruka - hivyo anakunywa pombe mpaka anajikojolea.

• Alipokuwa na umri kati ya miaka 18 - 50 hakuweza kumiliki hata pikipiki. Sasahivi amenunua Crown Athlete amefunga mziki mnene utafikiri Fiesta ya Wasafi Festival. Jioni anakwenda kupark gari kwenye viunga vya Chuo anavizia vitoto vya 2000's vinavyopenda chipsi.
Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe huku mjini.​

Right Marker
Dar es salaam
 
Itakuwa umechukuliwa demu wako mkuu pole sana

Ila hata wewe nakushauri haijarishi una ela ama vipi
Ukishaingia 35 kwenda 40
Chukua mwanamke kwa ajiri ya kukufurahisha hivyo hicho ndo kipindi chakutumia pesa kumpata mwanamke unayemtaka
Sasa mkuu ebu fikiria una miaka 35 - 40 bado unatafutwa kupendwa atakupenda nani wewe bila kuhonga

Hvyo mkuu wangu jitahidi kutumia pesa kupata demu unayemtaka uenjoy nae kulinganana uwezo wako ama sivyo utaishia kulalamikia wanaume wenzako wanaotumia pesa kupata mademu wanaowataka
 
Itakuwa umechukuliwa demu wako mkuu pole sana

Ila hata wewe nakushauri haijarishi una ela ama vipi
Ukishaingia 35 kwenda 40
Chukua mwanamke kwa ajiri ya kukufurahisha hivyo hicho ndo kipindi chakutumia pesa kumpata mwanamke unayemtaka
Sasa mkuu ebu fikiria una miaka 35 - 40 bado unatafutwa kupendwa atakupenda nani wewe bila kuhonga

Hvyo mkuu wangu jitahidi kutumia pesa kupata demu unayemtaka uenjoy nae kulinganana uwezo wako ama sivyo utaishia kulalamikia wanaume wenzako wanaotumia pesa kupata mademu wanaowataka
😁😁😁
 
Wale wazee wenye miaka 60+ yupo madarakani kwa udhamin wa kadi ya CCM, naomba watupishe vijana maana huo ndio umri wa kustaafu na kula penshen na wajukuu
 
Mhadhara - 35:
Unamkuta mtu tangu amezaliwa ameishi maisha magumu, ugumu wa maisha umemtafuna kwa miaka 50. Anaanza kufanikiwa (kushika pesa) akiwa na miaka 51 baada ya kuuza shamba lake la miti. Sasa tazama vituko vyake mjini!

Mnashangaa!! Huyu mzee mbona anafanya mambo ya kitoto mtaani ambayo hayaendani na umri wake? - Kumbe mwenzenu aliruka hatua nyingi za ukuaji hivyo matukio mengi yalimpita kutokana na ugumu wa maisha.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuwa na hela hivyo mabinti walimkataa, na kwa bahati mbaya hata ule umri wa kucheza KOMBOLELA mabinti walimkwepa hivyo alikuwa akijificha porini na kwenye mapagala pekee yake. Sasahivi amepata hela analipiza hatua aliyoiruka - analala na vibinti vya miaka 18 - 20.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuweza kunywa pombe za maana kutokana na umasikini. Sasahivi ameshika pesa analipiza hatua aliyoiruka - hivyo anakunywa pombe mpaka anajikojolea.

• Alipokuwa na umri kati ya miaka 18 - 50 hakuweza kumiliki hata pikipiki. Sasahivi amenunua Crown Athlete amefunga mziki mnene utafikiri Fiesta ya Wasafi Festival. Jioni anakwenda kupark gari kwenye viunga vya Chuo anavizia vitoto vya 2000's vinavyopenda chipsi.
Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe huku mjini.​

Right Marker
Dar es salaam
Pole sana mkuu. Kama kuna mzee kakuchukulia demu achana naye tu kwa sababu hiyo ligi hutaiweza. Ila nakupongeza kwa kuandika huu uzi ili kukusaidia kupunguza machungu. Pia jua kuwa miaka 50 kwa mwanaume bado yuko fit kama hana ulemavu au magonjwa.
 
Ningeshangaa sana kama wangefanya chochote tofauti na hicho unachosema, kwani kazi ya pesa hasa ni nini katika umri huo?
 
Mhadhara - 35:
Unamkuta mtu tangu amezaliwa ameishi maisha magumu, ugumu wa maisha umemtafuna kwa miaka 50. Anaanza kufanikiwa (kushika pesa) akiwa na miaka 51 baada ya kuuza shamba lake la miti. Sasa tazama vituko vyake mjini!

Mnashangaa!! Huyu mzee mbona anafanya mambo ya kitoto mtaani ambayo hayaendani na umri wake? - Kumbe mwenzenu aliruka hatua nyingi za ukuaji hivyo matukio mengi yalimpita kutokana na ugumu wa maisha.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuwa na hela hivyo mabinti walimkataa, na kwa bahati mbaya hata ule umri wa kucheza KOMBOLELA mabinti walimkwepa hivyo alikuwa akijificha porini na kwenye mapagala pekee yake. Sasahivi amepata hela analipiza hatua aliyoiruka - analala na vibinti vya miaka 18 - 20.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuweza kunywa pombe za maana kutokana na umasikini. Sasahivi ameshika pesa analipiza hatua aliyoiruka - hivyo anakunywa pombe mpaka anajikojolea.

• Alipokuwa na umri kati ya miaka 18 - 50 hakuweza kumiliki hata pikipiki. Sasahivi amenunua Crown Athlete amefunga mziki mnene utafikiri Fiesta ya Wasafi Festival. Jioni anakwenda kupark gari kwenye viunga vya Chuo anavizia vitoto vya 2000's vinavyopenda chipsi.
Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe huku mjini.​

Right Marker
Dar es salaam
Wivu na husuda
 
Itakuwa umechukuliwa demu wako mkuu pole sana

Ila hata wewe nakushauri haijarishi una ela ama vipi
Ukishaingia 35 kwenda 40
Chukua mwanamke kwa ajiri ya kukufurahisha hivyo hicho ndo kipindi chakutumia pesa kumpata mwanamke unayemtaka
Sasa mkuu ebu fikiria una miaka 35 - 40 bado unatafutwa kupendwa atakupenda nani wewe bila kuhonga

Hvyo mkuu wangu jitahidi kutumia pesa kupata demu unayemtaka uenjoy nae kulinganana uwezo wako ama sivyo utaishia kulalamikia wanaume wenzako wanaotumia pesa kupata mademu wanaowataka
Hilo nalo neno
 
Mhadhara - 35:
Unamkuta mtu tangu amezaliwa ameishi maisha magumu, ugumu wa maisha umemtafuna kwa miaka 50. Anaanza kufanikiwa (kushika pesa) akiwa na miaka 51 baada ya kuuza shamba lake la miti. Sasa tazama vituko vyake mjini!

Mnashangaa!! Huyu mzee mbona anafanya mambo ya kitoto mtaani ambayo hayaendani na umri wake? - Kumbe mwenzenu aliruka hatua nyingi za ukuaji hivyo matukio mengi yalimpita kutokana na ugumu wa maisha.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuwa na hela hivyo mabinti walimkataa, na kwa bahati mbaya hata ule umri wa kucheza KOMBOLELA mabinti walimkwepa hivyo alikuwa akijificha porini na kwenye mapagala pekee yake. Sasahivi amepata hela analipiza hatua aliyoiruka - analala na vibinti vya miaka 18 - 20.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuweza kunywa pombe za maana kutokana na umasikini. Sasahivi ameshika pesa analipiza hatua aliyoiruka - hivyo anakunywa pombe mpaka anajikojolea.

• Alipokuwa na umri kati ya miaka 18 - 50 hakuweza kumiliki hata pikipiki. Sasahivi amenunua Crown Athlete amefunga mziki mnene utafikiri Fiesta ya Wasafi Festival. Jioni anakwenda kupark gari kwenye viunga vya Chuo anavizia vitoto vya 2000's vinavyopenda chipsi.
Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe huku mjini.​

Right Marker
Dar es salaam
Hzo ela unataka watumieje sasa? Hutaki wale vitu lain hata dakika ya 89??
 
Mhadhara - 35:
Unamkuta mtu tangu amezaliwa ameishi maisha magumu, ugumu wa maisha umemtafuna kwa miaka 50. Anaanza kufanikiwa (kushika pesa) akiwa na miaka 51 baada ya kuuza shamba lake la miti. Sasa tazama vituko vyake mjini!

Mnashangaa!! Huyu mzee mbona anafanya mambo ya kitoto mtaani ambayo hayaendani na umri wake? - Kumbe mwenzenu aliruka hatua nyingi za ukuaji hivyo matukio mengi yalimpita kutokana na ugumu wa maisha.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuwa na hela hivyo mabinti walimkataa, na kwa bahati mbaya hata ule umri wa kucheza KOMBOLELA mabinti walimkwepa hivyo alikuwa akijificha porini na kwenye mapagala pekee yake. Sasahivi amepata hela analipiza hatua aliyoiruka - analala na vibinti vya miaka 18 - 20.

• Alipokuwa na umri wa miaka 18 - 50 hakuweza kunywa pombe za maana kutokana na umasikini. Sasahivi ameshika pesa analipiza hatua aliyoiruka - hivyo anakunywa pombe mpaka anajikojolea.

• Alipokuwa na umri kati ya miaka 18 - 50 hakuweza kumiliki hata pikipiki. Sasahivi amenunua Crown Athlete amefunga mziki mnene utafikiri Fiesta ya Wasafi Festival. Jioni anakwenda kupark gari kwenye viunga vya Chuo anavizia vitoto vya 2000's vinavyopenda chipsi.
Wazee mliochelewa kushika pesa tunaomba mtupumzishe huku mjini.​

Right Marker
Dar es salaam
Tatizo baba yako akiwa kijana alikuwa na hela nyingi sana, akakuspoil. Leo kafilisika unaanza kuwachukia wazee wenzangu wanaokamua pili kali hapa mjini
 
Back
Top Bottom