Wazee mnaokaribia kustaafu jipumzisheni basi na hekaheka za kikazi

Wazee mnaokaribia kustaafu jipumzisheni basi na hekaheka za kikazi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Unakuta mzee kabakisha miaka miwili au mmoja astaafu anaanza kuwa na hofu ya maisha baada ya kustaafu ile hali inampelekea awe katili sana linapoluja suala la pesa.Kila safari inayokuja analazimisha ahusike hata activities ambazo zinapendeza aachie Vijana anang’ang’ania.Sio vizuri kwa kweli watumeni vijana wajijengee ubobezi.kwa safari ambazo zinahusisha siasa kweli sio mbaya ukaenda Ujibie uzoefu ila za kitaalam una Pigana kabisa ligi na watoto wenye miaka mitano kazini.Hawaogopi hata ajali za barabarani kila kukicha.ushakula mamia ya mamilioni hujatoboa unadhani posho za kipindi kilichobakia utatoboa
 
Unakuta mzee kabakisha miaka miwili au mmoja astaafu anaanza kuwa na hofu ya maisha baada ya kustaafu ile hali inampelekea awe katili sana linapoluja suala la pesa.Kila safari inayokuja analazimisha ahusike hata activities ambazo zinapendeza aachie Vijana anang’ang’ania.Sio vizuri kwa kweli watumeni vijana wajijengee ubobezi.kwa safari ambazo zinahusisha siasa kweli sio mbaya ukaenda Ujibie uzoefu ila za kitaalam una Pigana kabisa ligi na watoto wenye miaka mitano kazini.Hawaogopi hata ajali za barabarani kila kukicha.ushakula mamia ya mamilioni hujatoboa unadhani posho za kipindi kilichobakia utatoboa
Ofisi huwa zinawapa safari za mara kwa mara ili wapate fedha za kujiandaa, kama kuna sehemu haiko vizuri, wewe kijana bado upo miaka 30 mbele una haraka gani?
 
Unakuta kizee sijui kilifoji umri,kutwa kusinzia tu ofisini.kustaafu hakitaki
 
Back
Top Bottom