Sema watoto wa 2000 mnazinguaUnakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
kijana naona unatema povu kwa wazee, kubalini ukweli nyie ndio mnaolumbana na wazee, ni wabishi balaaUnakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
Ni utamaduni wa mtu, haimpunguzii chochote mbonaMwanaume mzima unasherekeaje Birthday??
NakaziaNi utamaduni wa mtu, haimpunguzii chochote mbona
Unajisumbua tu
Nampenzi wangu honey
Ya kwangu inalodi hapa bado kidogo๐Nakazia
Lini, nikuandalie zawadi totooYa kwangu inalodi hapa bado kidogo๐
21/04/Lini, nikuandalie zawadi totoo
Kwanza nianze kumshukuru Mama Samia kwa huu wasaha!Unakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
Kama bado una sherekea besidei wewe ni mvulana tu !!!....Unakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
Miaka yetu hatukuwahi kusherehekea siku ya kuzaliwa eti! Tena wengi wetu hata tarehe zenyewe za kuzaliwa hatuzifahamu!!Unakuta mtu unaandika Bandiko la kusherehekea siku yako ya kuzaliwa kwenye Jukwaa, halafu ukasema umezaliwaa mwaka fulani basi watatokea Vikongwe na kuanza kusema kumbe humu tunarumbana na Vitoto.
Naomba mjue kuwa mnatukosea sana sisi wajukuu zenu.
Ushauri - Wazee tunawaomba muwe na hekima kwa wajuu zenu.
Uzi Tayari.
VIpi lakini mkiamka asubuhi mnapiga sala/dua kushukuru? Kama mnafanya hivo cha ajabu nini kushukuru kufikisha mwaka mwingine?Miaka yetu hatukuwahi kusherehekea siku ya kuzaliwa eti! Tena wengi wetu hata tarehe zenyewe za kuzaliwa hatuzifahamu!!
Vijana wa siku hizi inakuwaje mnafanya sherehe za aina hii! Mkosa kweli?