Mambo haya Ndo wajukuu hatuyataki😃😃Mwanaume mzima unasherekeaje Birthday??
😃😃nasisi tusiowah kuandika chochote tupo kwenye kundi gani?Watoto humu utawajua tuu kwa kuandika threads kila saa..yani wao vichwa vyao havina majukumu wao wanawaza waandike nini JF...
Mmepevuka 😆 😆 😆 😆😃😃nasisi tusiowah kuandika chochote tupo kwenye kundi gani?
Sawa 😃Mmepevuka 😆 😆 😆 😆
Ukute huyu mwamba anasherekea christmas alafu hapa analeta ujuaji kuponda wanaosherekea siku za kuzaliwa kwao. 😂😂Ni utamaduni wa mtu, haimpunguzii chochote mbona
Unajisumbua tu
Kaka kesho pasaka ujueNi utamaduni wa mtu, haimpunguzii chochote mbona
Unajisumbua tu
Nitakula pilau nadhaniKaka kesho pasaka ujue
Nitakuwa kiwanja kimoja kinaitwa The Spirit pale TangaNitakula pilau nadhani
Tena wewe unataka uchangiwe kabisa kwa ajili ya birthday. Unatinda zako nyusi, unapiga zako kajinsi kalichochanikachanika magotini na fulana yako ina picha ya Mwijaku alafu unajiona mjanjaaaaa ukiwa unasheherekea birthday yako.Ni utamaduni wa mtu, haimpunguzii chochote mbona
Unajisumbua tu
Aisee mi mwenyewe huwa nawashangaaga mnooMwanaume mzima unasherekeaje Birthday??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha utoto dogo...
Very soon21/04/