Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali..Hawa wanasiasa wanaua watumishi kwa umaskiniWalau una pa kuanzia. Na mie naanza kilimo
Na sisi tumekariri, bado hatujifunziAfadhali..Hawa wanasiasa wanaua watumishi kwa umaskini
Kuna mishe zinalipa sana kwa mtaji wa kawaida tuNa sisi tumekariri, bado hatujifunzi
Pesa tulosomeshewa na tunazotumia now kusomeshea wtt wetu mtaji tosha...
Biashara ya chakula haimtupi mtu lkn ndio ivo tunataka kila mtu awe ofisini
Kabisa yaani. 😀😀ndo utajua kuishi bila hela mwezi mzima inawezekanaa 😀 😀 😀
😂😂Akakope sasa
NimeshaumalizaHaya wazee wa mshahara leo ni siku yetu ambayo tunatumaini itafunika miaka 7 yote iliyopita.
Vipi huko ishasoma?
Alivyokufa BKM nao ukafaHivi ule mnada wa musiba ndio uliyeyuka? 🙄
Hili nalo likafanyiwe kazi🤣🤣🪑Na sisi tumekariri, bado hatujifunzi
Pesa tulosomeshewa na tunazotumia now kusomeshea wtt wetu mtaji tosha...
Biashara ya chakula haimtupi mtu lkn ndio ivo tunataka kila mtu awe ofisini
Kuna vitu nlikua nataka kuvinunuaUlikuwa umeahidiwa 10% nini?
Hii increment sio ya kitoto, kweli mama anaupiga mwingi
Siyo kubwa. Hiyo 100k igawe kwa mbili (July&August)Ewaaaa crdb kitu imetema. Mi-increment kama yote. Sijui hii ni increment ya miaka saba au?
Ngoja nichekiOctober bado?
OkNgoja nicheki
Zero bin sifuri.
Sawa nitumieZero bin sifuri.
Kama ya kula leo hakuna niambie nikukopeshe kesho ukitoka ulipe