iache cha mtu nnya wanasema!Sasa nikiiona barabarani nafanyaje?
Mbaya sana. dada mmoja alishuka na begi lenye laptop na simu la kijana aliyemuomba amshikie kwenye daladala. Kijana akaenda kwa wataalamu wanaotress akalipa elfu 60. Begi lilikutwa mbagala ndanindani huko, sebuleni simu inachajiwa. Kaka akasema kulikuwa pia na laki 9 ndani ya begi, ilibidi wachangishane ukoo mzima. Simu ilimponza bidada.Wazee kuna jamaa yetu huku mtaani kaokota simu na amekamatwa juzi. Mwenye simu kasema aliporwa million 250 kwenye begi lililokuwa na simu
Aisee sijui itakuaje hapo wakuu maana polisi wamemshikilia hawautaki hata awekewe dhamana.
Pia soma
- Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa
Kapoteza Milioni 250 kwenye Begi?Wazee kuna jamaa yetu huku mtaani kaokota simu na amekamatwa juzi. Mwenye simu kasema aliporwa million 250 kwenye begi lililokuwa na simu
Aisee sijui itakuaje hapo wakuu maana polisi wamemshikilia hawautaki hata awekewe dhamana.
Pia soma
- Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa
Hizo milioni 250 zina maelezo yoyote? Mzee kafanya biashara gani na kwanini atembee na pesa zote hizo bila escort ya polisi?Wazee kuna jamaa yetu huku mtaani kaokota simu na amekamatwa juzi. Mwenye simu kasema aliporwa million 250 kwenye begi lililokuwa na simu
Aisee sijui itakuaje hapo wakuu maana polisi wamemshikilia hawautaki hata awekewe dhamana.
Pia soma
- Kwa sasa, kuokota simu si bahati tena bali ni balaa