Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Karne hii bado watu wanasex bila ndom... alooo aisee sithubutu... mimi husex na ndom na nikimaliza nakimbia chap bafuni... full kujimwagia maji...

Ndani ya sekunde chache unaweza kuzizila ndoto zako
 
ukapita milango yote na ni mke wa mtu🤔

kataa ndoa kumbe wana hoja wasikilizwe
 
Wengi naona wanachukulia poa,ghono likipona,linaacha makovu kwenye urethra,mwisho wa siku inasemekana kovu husika hutuna,hivyo kuziba njia ya mkojo,ndo ile unakuta mtu kalazwa urology na mpira wa mkojo.Tuwe makini aisee....!
Sasa mkuu wewe ni mwalimu wa language na kiswahili haya mambo umejulia wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Mlango wa nyuma raha ukiwa msafi rafiki, pole sanaa
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Kungwi waeleweshe kabisa
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Vipi huko ni zanzibar au ?
 
Sasa mkuu wewe ni mwalimu wa language na kiswahili haya mambo umejulia wapi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu mwalimu wa language,anafundisha pia comprehension za passages mbalimbali,hivyo kumfanya awe na knowledge ya mambo mbalimbali pale anapofanya delivery kwa audience,hivyo usishangae mimi kujua hayo mambo.
 
Back
Top Bottom