Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

sasa kama ameua bila kukusudia inakuwaje hukumu inasubiri november 13?
Hukumu inaandikwa kwanza summary na ndiyo inasomwa siku ya hukumu. Hiyo inahitaji muda kidogo kuiandaa. Wakati mwingine unaweza kuambiwa una hatia alafu hukumu siku nyingine
 
Katika kesi ya mauaji ni lazima ioneshwe huyu mtu anayedaiwa kuuawa aliuuwa kweli na kifo chake kilitokeaje.

Hatuwezi kila jambo mkuu, mambo mengine yanapita bila kuyasikia au kuyaona. Nina imani ropoti ya Daktari ipo na iliwasilishwa mahakamani
 
Wametoa main I na siyo maamuzi
 
Kwani inasemwa aliua kwa kipigo?
 
Kwa haki kabisa , huyo Lulu sijui dhahabu atafungwa tena mvua ya miaka au maisha.

Labda Goli la Mkono lihusike. Kwa sababu, ukiangalia gazeti la Mwananchi toleo la tarehe 23 maelezo ya Lulu hauoni kabisa anavyoweza kutoka kwenye kesi. Maelezo kwa kifupi ya Kesi hii hapa kutoka gazetini.

Lulu asimulia yaliyomsibu nyumbani kwa Kanumba

Tena, Lulu angeelewa mapema hili jambo kuwa siyo rahisi kihivyo, angesema kuwa
"" kanumba alimuita home kwake, akataka kumbaka na hakuwa na mahusiano naye bali bosi wake. Sasa katika kufukuzana ndani ili abakwe ndiyo huyo kanumba akaanguka na kufa maana pia, alikuwa amelewa.


Ila Lulu ameongea mambo yote tena mahakamani ya kumtia hatiani kwa uwazi kabisa.

Kwa kifupi, miaka 30 au maisha hatavikwepa. Lakini, hukumu ikiwa, vinginevyo, basi nitaamini huu usemi uliotapakaa kuwa "" All lawyers are liars""

Kesi ya lulu gazetini.

Lulu asimulia yaliyomsibu nyumbani kwa Kanumba
 
Seth alikua chumba cha pili na ametoa ushahid kwamba aliwasikia wanakimbizana na kupigana then akaja kuitwa Kanumba ameanguka!au unamaanisha nini?
Kisheria huo siyo ushahidi wa kuona..
 
Nadhani sector pekee iliyo bakisha kuonyesha pia imetawaliwa na drama, usanii na ujanja ujanja usio na haki ni hii sector ya sheria.. Kwa kesi hii kama lulu hatofungwa kwa maoni ya wazee wa mahakama, ushahidi wake kukinzana na ukweli wa kesi...naongeleamvua si chini ya miaka 30 jela basi nothing is fair. Tanzania is not fair. Na familia ya kanumba isikubali. Sisemi lulu afungwe bali huo ndio ukweli.
Hakuna ujanja hyo kesi ..
Felony inamfunga ..lulu mwenyewe kajifunga.


Mwaka 2005 marafiki zangu watatu walihukumiwa miaka 25 jela kwa kuuwa bila kukusudia.. Walienda club moja usiku wakiwa watano. Baada ya kunywa vinywaji viwili vitatu waliamua kurudi nyumbani ila walipotoka nje kuna ugomvi ulitokea mmoja wao akauliwa wakakimbia wanne wote kwa kutumia gari la mmoja wao. Na kesi ikawa inazunguka ushahidi kama hii. Mwisho wa siku ikala kwao.
Lulu ukipona washukuru chadema unaotembea nao. Wakijinadi hufungwi. Usipopona usirudie kwenda na foleni za magari mahakamani mchumba. Hujui siasa imekalia wapi. Attitude za watu pia.
 


Report ipi unayotaka? Dr aInno Moshi (Pathologist) wa MNH aliitwa Mahakama kuu kufanya nini?
 
Kitu Kama hisho hakiwezi nikuta kamwe.Style ya maisha yangu haiwezi niweka kwenye mazingira kama hayo.
Kama unamiliki gari dada unaweza kugonga mtu na ukapatwa na kesi..... Usiongee kwa wepesi kama kunyw maji au kunywa chai na boflo
 
Kama unamiliki gari dada unaweza kugonga mtu na ukapatwa na kesi..... Usiongee kwa wepesi kama kunyw maji au kunywa chai na boflo
Kwa nini nigonge mtu. Jamani nilipata leseni yangu baada ya kupitia mafunzo. Tena nina international leseni. Nafata sheria za barabarani. Why nigonge mtu ? Prevention zipo Jamani. Acheni kuishi Kwa nadharia.
 
Kwa nini nigonge mtu. Jamani nilipata leseni yangu baada ya kupitia mafunzo. Tena nina international leseni. Nafata sheria za barabarani. Why nigonge mtu ? Prevention zipo Jamani. Acheni kuishi Kwa nadharia.
Umeona mange amekachamba,,tena kasema wasimchokonoe asijeongea ya marehem seki ,,inaonekana lulu ana kitu sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…