Wazee wa baraza wasema 'Lulu' ameua bila kukusudia, Jaji kutoa hukumu Novemba 13

Wewe si ndio ulidindisha kisimi chako hapa JF kushangilia Mange account yake ya Insta imedeletiwa? Kumbe ni follower wake ila chuki tu zimekujaa kenge wewe.
Asante. What I know mimi siyo kenge. Kamwe maneno yako hayawezi nifanya niwe kenge. I'm a family super mama of 7.career woman, good wife. Najipendaje sasa. Yaani we Acha tu.
 
Report ipi unayotaka? Dr aInno Moshi (Pathologist) wa MNH aliitwa Mahakama kuu kufanya nini?
je hiyo ripoti ya pathologist kabla ya kuiwakilisha mahakamani aliwapa upande wa utetezi ili nao they can apply their mind ,may be to seek a second pathologist to exam the body,remember its a right for defending side also to have a say on report before court.
 


Nkanini please jitahid ujiunge na quora uko smart saan mawazo yako yanahitajika kulee. Strong facts zinazaa issue ambazo mtu akisoma akiungabisha na vifungu vya sheria tunasema hiyuu kafanya hicho kitu kwa iq yangu ya 0000.01 sioni kituuu hapooo ila kwa kuwa tupo tanzania na sio puetro rico anything can happen.
Hiv wazee wa baraza wana legal letaracy??
 
Wazee wa baraza hawana legal literacy,na hawatakiwi kuwa hivyo...kwa sababu wao kazi yao kubwa ni kutoa maoni juu ya facts na ushahidi ulioletwa mahakamani,na sio sheria inasemaje juu ya issue husika.

Na ndo maana huwa hawatoi maoni kwa mujibu wa sheria bali kwa mujibu wa ushahidi na facts.

Hawa wanatakiwa kuwa na sifa kuu ya uadilifu,tabia njema katika jamii na busara tu...mara nyingi uzoefu unaonesha wanapenda kuwa walimu wa shule,au wastaafu wa kada nyengine mbali na sheria.

Na ndo maana mwisho wa siku Jaji mbali na maoni ya hao wazee huwa anaangalia position ya sheria ikoje juu ya issue husika,lakini pia yeye kama Jaji huo ushahidi ana uonaje,na ndo maana mwisho wa siku anaweza kutofautiana kabisa na maoni ya wazee kutokana na sababu atazozieleza katika Hukumu yake.
 
Unaweza tupatia japo kamfano kiduchu mtu aliye wahi kutozwa fain kwa kesi ya mauaj ya bila kukusudia?
 
Ile mwanzo alivyotoka magereza angezaaga mtoto wake mmoja maskin sahv ingekuwa afadhal kama ikitokea akafungwa anaacha kachata
 
Hukumu nov 13 sherehe za uhuru dec 9. Lulu akiwa na bahati atachomoka nov 13 au akikwama basi atapata msamaha wa upendeleo dec 9 akishindwa hapo ndo basi tena atatumikia kifungo tu au rufaa itamuokoa
#justthinkingloud#
Msamaha sio kwamba uwe umetumikia nusu ya kifungo chako? Na inategemea na makosa?
 
Poor Lulu she was in the wrong place at the wrong time. Ila tukio lile lilitakiwa limfundishe ila hajajifunza kitu. Bado kaendelea na katabia kabaya kalekale.
 

three quarters of contributors of this thread would like for her to get a heavy sentence. some opine for 15 yrs others 30 and others have gone for life. there's the good news and the bad news to that line. shall I start with the good or the bad?
 
three quarters of contributors of this thread would like for her to get a heavy sentence. some opine for 15 yrs others 30 and others have gone for life. there's the good news and the bad news to that line. shall I start with the good or the bad?
anza na nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…