Ukijibiwa nitagNawezaje kupata line ya ttcl?
Mawakala wake wanapita?
Mimi nakaa ikulu dar karibu na mama Samia.niende town wapi tena?Mawakala mbona wengi tu mkuu sema sijajua location yako.
But nenda sehemu za town coz mtandao haujaenea sana séhemu za vijijini.
nenda ofisi yoyote ya TtclMimi nakaa ikulu dar karibu na mama Samia.niende town wapi tena?
[emoji23][emoji23][emoji23]. Angekuwepo mzee jiwe ....ungeenda kushtak mkuuTTCL Customer Care waizi hawa jana wametafuna dakika zangua,wakanijibu wanafuatilia tatizo wakat hawawezi ku compasate kilichopotea
Nna. Lain ya airtel .....but cjaona hyo ...labda ipo menu gan mkuu
Menu gan
Imerudi hii kwani?AIRTEL GB 10 night pack njoo uku