Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Dr Mpango anapumua kwa shida na ile barakoa!Nliona kwenye kikao cha balaza la mawaziri hawajavaa barakoa,
Mpango nimemuona anapumua kwa shida yani barakoa inabonyea na kusinyaa kama chura! Bora angevua tu
Wameamua kumsaliti mwendazake kweli ukifa na lako halipo.Ni kweli Dr Mpango anapumua kwa shida na ile barakoa!
Sikulijua hilo bwashee nami ndio nimesikia sasa!Nilijua ni uamuzi wa wazee wenyewe kumbe wametakiwa kufanya hivyo namsikia Mama Samia anawaomba radhi kwa hilo.
MAKADA WA CCM, wanamdhalilisha mwendazake hata hajapasuka tumbo asee.Kiukweli nawapongeza sana wazee wa Dar es salaam kwa kuzingatia masharti ya wizara ya afya kwa kuanza rasmi kuvaa barakoa na kutembea na vitakasa mikono.
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
Alimwambukiza mkewe as ndie aliekua karibu nae zaidi but unajua hivi karibuni wanaume wanakufa kuliko wanawake so bibie alijitenga siku 14 mwenyewe huku akitumia madawa mbalimbali ya hospital na nyungu tunamshukuru Mungu akanusurikaHakuwaambukiza?
Na wote hiyo corona walijua kuwa ndio tatizo baada ya kupimwa?Alimwambukiza mkewe as ndie aliekua karibu nae zaidi but unajua hivi karibuni wanaume wanakufa kuliko wanawake so bibie alijitenga siku 14 mwenyewe huku akitumia madawa mbalimbali ya hospital na nyungu tunamshukuru Mungu akanusurika
Watoto hata hawakupata kabisa
NdioNa wote hiyo corona walijua kuwa ndio tatizo baada ya kupimwa?
Pengo la JPM kdg kdg linaanza kuonekana. nasikia wameanza na kufukuza machinga huko.
Lakini kipindi hiko si ilikuwa akikutwa mtu na corona wanazolewa na wengine kwa hiyo nyumba, nakumbuka rafiki yangu mmoja yeye na wafanya kazi wenzie kazini waliwekwa karantini baada ya mwenzao kukutwa na corona.Ndio
Kipindi kile walikua wanapima na kutoa takwimu au umesahau mkuu?
Sasa yeye aliambiwa ajitenge kwake alafu wakazungushia utepe mtu asiingie siku 14Lakini kipindi hiko si ilikuwa akikutwa mtu na corona wanazolewa na wengine kwa hiyo nyumba, nakumbuka rafiki yangu mmoja yeye na wafanya kazi wenzie kazini waliwekwa karantini baada ya mwenzao kukutwa na corona.
Yani hospitali zilizidiwa wagonjwa wa corona?Sasa yeye aliambiwa ajitenge kwake alafu wakazungushia utepe mtu asiingie siku 14
Unakumbuka mwishon waliacha kuwa wanapeleka wagonjwa hospital as zilizidiwa