Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Niaje masela aman iwe nanyi katika bwana
Kama kichwa cha habali kinavyojieleza hapo juu
Kuna watu huwa ni wazee wa fix ile mbaya sio wakubwa tu pia kuna vijana na wazee wana fix kinoma, wanauwezo wa kukuingiza king mpaka mwenyewe ukachanganyikiwa na ukabaki huamin kilichotokea
Fix zipo aina nyingi na wapiga fix wapo wa aina nyingi
Waingizwa fix wapo wengi sana pia waingiza fix wapo wengi sana
Wewe kama mdau wa fix ni lin uliwah kuingizwa fix mpaka ukabaki mwenyewe hujielewi pia vile vile ni lin umewah kumwingiza fix kiumbe yeyote yule
Kuna wazee wa fix kwa mademu tu pia kuna wazee wa fix kwa maden
Wewe upo kundi lip mwanangu kwa mademu au maden
Mimi nishawahi kumfanyia fix ness fulan had yeye mwenyewe hakuamin macho yake
Waweza nambia ni lin na kitu gan uliwahi kuingizwa na kumwingiza mtu fix au wewe ni mtalamu wa fix za aina gan
KARIBUN TUJADILI
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habali kinavyojieleza hapo juu
Kuna watu huwa ni wazee wa fix ile mbaya sio wakubwa tu pia kuna vijana na wazee wana fix kinoma, wanauwezo wa kukuingiza king mpaka mwenyewe ukachanganyikiwa na ukabaki huamin kilichotokea
Fix zipo aina nyingi na wapiga fix wapo wa aina nyingi
Waingizwa fix wapo wengi sana pia waingiza fix wapo wengi sana
Wewe kama mdau wa fix ni lin uliwah kuingizwa fix mpaka ukabaki mwenyewe hujielewi pia vile vile ni lin umewah kumwingiza fix kiumbe yeyote yule
Kuna wazee wa fix kwa mademu tu pia kuna wazee wa fix kwa maden
Wewe upo kundi lip mwanangu kwa mademu au maden
Mimi nishawahi kumfanyia fix ness fulan had yeye mwenyewe hakuamin macho yake
Waweza nambia ni lin na kitu gan uliwahi kuingizwa na kumwingiza mtu fix au wewe ni mtalamu wa fix za aina gan
KARIBUN TUJADILI
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app