Wazee wa FOREX mtanielewa vyema

naona wenzakohuko africa bado wamelala,,
fanyeni kazi, no short cut in the real world,
Fuatilia American greed utajifunza kitu in your life
Kwani forex aliekwambia ni short cut nani? Kwenye uzi wangu apo umeona nilipo i undermine fx kwamba ni get rich fast?, anyway kila mtu na njia zake lengo ni kupata pesa hela za madini kilimo zote ni namba pili ninamirad mingine
 
Kwani forex aliekwambia ni short cut nani? Kwenye uzi wangu apo umeona nilipo i undermine fx kwamba ni get rich fast?, anyway kila mtu na njia zake lengo ni kupata pesa hela za madini kilimo zote ni namba pili ninamirad mingine


 

Attachments

  • 1564804212325.png
    41.8 KB · Views: 54
  • 1564804319808.png
    20.2 KB · Views: 61
Kama zali limekuangukia fedha ni zako. Maelezo yote haya ya nini? Mbona unajieleza kama umeambiwa utowe maelezo kituo cha polisi. Uzoefu wangu wa maisha unaniambia binadamu siku zote huficha sehemu yenye ulaji. Ukisikia binadamu anayepiga kelele ''jamani ehe... njooni huku kuna ulaji.... '' basi ujue kuna jambo lililojificha ndani yake... Maelezo marefuuuuuuu utadhani uko mahakamani unajitetea kwa kosa la utakajishaji fedha mazee!
 
Mkuu naelewa unachoongelea hapo wiki hii Kwa aliyekuwa vizuri kihisia na kimipango ametusua vibaya Sana kwenye forex.

Hongera Sana sie wengine bado.
Ila Siku zinahesabika.
Bravooo!
 
Hongera mkuu maana ile safari ya kuelekea nchi ya ahadi kwako imeshapamba moto hapo.

Naomba nikuulize maswali machache.
#ulikuwa na capital ya usd ngapi.. Na ulitembea na lots size ya ngapi na uliopen position ngapi?


#km ukiwiwa japo usd 100..tu mkuu kwa gud faith naomba this week ilikuwa mbovu kwangu I burn de account nilibuy..
 
Na mimi nasubiria jibu hapa

Maana kama ni proffesional forex player huwezi kupiga hela zote hizo kwa mpigo halafu mtaji wako ni mdogo, najua theoretically inawezekana ila hakuna proffesional forex player anayecheza hivyo, mtikisiko kidogo tu, umeunguza account

Watu wanaipiga hela kama hizo wanatakiwa wawe na kitu kama at least 200k usd kwenya account zao

Sasa mtoa mada kasema amepiga hizo AMEAGA UMASIKINI ina maana alikuwa na mtaji mdogo sana, yaani hapo alikuwa anacheza pure reckless gamble wala sio mtaalam ama anadanganya maboya
 
alete fact sio kwamba nmepiga tu bila ushuhuda wa amount iliyokuwepo kabla na lot size alizotembea nazo
 
i did too boss i banked 25k usd on eurchf...life is funny sometimes
 
Kila mtu na hulka zake pesa za forex siwez zimaliza yanin nivunge
 
Mkuu naelewa unachoongelea hapo wiki hii Kwa aliyekuwa vizuri kihisia na kimipango ametusua vibaya Sana kwenye forex.

Hongera Sana sie wengine bado.
Ila Siku zinahesabika.
Bravooo!
Great mkuu
 
[emoji23][emoji23]
 
Mtaji wangu ni mkubwa tu above [emoji1241]0,000$ nilifungua two moja ya eurjpy na ingine audjpy with 5.00lots pips gathered is 230+pips

Hata mtu ungeenda kwa 0.20 ulikua unalaza si chini ya ml kwa position moja
 
Mtaji wangu ni mkubwa tu above [emoji1241]0,000$ nilifungua two moja ya eurjpy na ingine audjpy with 5.00lots pips gathered is 230+pips

Hata mtu ungeenda kwa 0.20 ulikua unalaza si chini ya ml kwa position moja
U deserved mkuu kwa capital hiyo uliyonayo..!
Forex is our life!
 
Mtaji wangu ni mkubwa tu above [emoji1241]0,000$ nilifungua two moja ya eurjpy na ingine audjpy with 5.00lots pips gathered is 230+pips

Hata mtu ungeenda kwa 0.20 ulikua unalaza si chini ya ml kwa position moja
Sasa mbona umedai umeaga umasikini?
 
Tupe stocks zinazo selll
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…