real hustler
Senior Member
- Mar 12, 2021
- 143
- 204
Kuanza kwa salam, natumaini uko poa Great thinker uliyechagua kupitia hapa.
Mada husika iko hivi.
Niko na rafiki yangu ambaye Yuko London ameamua kunitumia mzigo kupitia ndege siku ya Leo.
Sasa ishu iliyonileta hapa ni kuwa kampuni aliyochagua destination yake ni Kenya kuwa alikosa flight moja ya kutoka London Hadi Tanzania.
Sasa hapo mzigo wangu naweza pataje na Mimi Niko morogoro.
Natanguliza shukrani kwako wa wazo/ushauri Bora great thinker
Mada husika iko hivi.
Niko na rafiki yangu ambaye Yuko London ameamua kunitumia mzigo kupitia ndege siku ya Leo.
Sasa ishu iliyonileta hapa ni kuwa kampuni aliyochagua destination yake ni Kenya kuwa alikosa flight moja ya kutoka London Hadi Tanzania.
Sasa hapo mzigo wangu naweza pataje na Mimi Niko morogoro.
Natanguliza shukrani kwako wa wazo/ushauri Bora great thinker