Wazee wa kazi kuelekea katikati ya jiji, kulikoni?

Wazee wa kazi kuelekea katikati ya jiji, kulikoni?

JK hana pesa za kuwalipa wazee serikali imefirisika mfano Wanajeshi hapa Arusha hawaendi kazi kwa sababu ya ukata, wanaonda niwale wanao bahatika kudandia mabasi ya Mtei lakini malori yao yamepark hayana mafuta itakuwa za kuwalipa wazee.....
ukitaka kujua hayo magari yana mafuta au la waambie chadema watangaze maandamano
 
pesa alifanyia kampeni na hao askari wenyewe wana loopholes za rushwa ndo mana!
 
Back
Top Bottom