Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Wazee wa ACT Wazalendo Kigoma Waufuatilia Uchaguzi Kwa Namna Yao, ‘Dua’.
Ikiwa zimebaki siku nane kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mnamo Novemba 27,2024, wazee wa ACT Wazalendo mkoani Kigoma wamefanya 'dua maalum' kwa ajili ya yeyote atakayehusika na kujaribu kuharibu uchaguzi huo.
Dua hiyo iliyoanza asubuhi ya leo Novemba 19, 2024, na kumalizika mchana kwa kuchinja ngamia inaelezwa kuwagusa moja kwa moja wadau mbalimbali watakaoshiriki katika uchaguzi huu ambao wazee hao wanaona ni muhimu sana kwao.
Akiongelea juu dua hiyo Msemaji wa ACT Wazalendo Masuala ya Uchaguzi Serikali za Mitaa, Rahma Mwita amesema wanachama hao wameamua kufanya kile wanachoona kinaweza kulinda haki zao.
"Chama ni cha wanachama, baada ya wao kuona kuna mambo yasiyofaa kwenye uchaguzi wameona watumie njia hiyo," Rahma aliambia The The Chanzo katika mahojiano.
Soma Pia:
Ikiwa zimebaki siku nane kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mnamo Novemba 27,2024, wazee wa ACT Wazalendo mkoani Kigoma wamefanya 'dua maalum' kwa ajili ya yeyote atakayehusika na kujaribu kuharibu uchaguzi huo.
Dua hiyo iliyoanza asubuhi ya leo Novemba 19, 2024, na kumalizika mchana kwa kuchinja ngamia inaelezwa kuwagusa moja kwa moja wadau mbalimbali watakaoshiriki katika uchaguzi huu ambao wazee hao wanaona ni muhimu sana kwao.
Akiongelea juu dua hiyo Msemaji wa ACT Wazalendo Masuala ya Uchaguzi Serikali za Mitaa, Rahma Mwita amesema wanachama hao wameamua kufanya kile wanachoona kinaweza kulinda haki zao.
"Chama ni cha wanachama, baada ya wao kuona kuna mambo yasiyofaa kwenye uchaguzi wameona watumie njia hiyo," Rahma aliambia The The Chanzo katika mahojiano.
Soma Pia:
- Kigoma: Wananchi waipongeza TAMISEMI mchakato Uchaguzi Serikali za Mitaa
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024