LGE2024 Wazee Wa Kigoma Wafanya DUA Maalumu Uchaguzi Serikali Za Mitaa kwa kuchinja ngamia

LGE2024 Wazee Wa Kigoma Wafanya DUA Maalumu Uchaguzi Serikali Za Mitaa kwa kuchinja ngamia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Haya mambo huanzaga hivi hivi, mara Kura za maruhani, mara Kisomo Cha Tanga na sasa Dua ya Ngamia

CUF na ACT Wazalendo ni vyama vyenye Wanachama Waislamu, Wakristo na Wapagani kwanini sasa Serikali haikemei hizo Dua ya Ngamia

Ufafanuzi wa hiyo Dua ni kwamba baada ya Uchaguzi kuna Watu watakuwa vichaa

Nimeogopa sana 🐼

====

Wafuasi wa ACT Kigoma wamesema, mara nyingi wamekuwa wakifanyiwa dhuluma ya wagombea kukatwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, hivyo wameamua kusoma dua ya ngamia ambayo itafanya kila atayepiga kura zaidi ya mara moja atapata matatizo, inaweza kuwa hata wehu, na yoyote atakayetangaza ambaye hajashinda atakuwa mwehu, wameona mamgeukie Mungu sababu hawana kwengine kwa kukimbilia!


 
Haya mambo huanzaga hivi hivi, mara Kura za maruhani, mara Kisomo Cha Tanga na sasa Dua ya Ngamia

CUF na ACT Wazalendo ni vyama vyenye Wanachama Waislamu, Wakristo na Wapagani kwanini sasa Serikali haikemei hizo Dua ya Ngamia

Ufafanuzi wa hiyo Dua ni kwamba baada ya Uchaguzi kuna Watu watakuwa vichaa

Nimeogopa sana 🐼
Jo wewe huogopi uhuni unaofanywa hata kupelekea watu wanaofanyiwa uovu kuwaombea mabaya wafanya uovu ama ni miongoni mwa watenda huu uovu?
 
Haya mambo huanzaga hivi hivi, mara Kura za maruhani, mara Kisomo Cha Tanga na sasa Dua ya Ngamia

CUF na ACT Wazalendo ni vyama vyenye Wanachama Waislamu, Wakristo na Wapagani kwanini sasa Serikali haikemei hizo Dua ya Ngamia

Ufafanuzi wa hiyo Dua ni kwamba baada ya Uchaguzi kuna Watu watakuwa vichaa

Nimeogopa sana 🐼
ni vizuri wakaachwa wakaabudu kwa uhuru wao kadiri ya imani yao, ilimradi hawavunji sheria..

Ile ya kuzuia ni kama ile ya akina Makenzi kule kenya au Kibwetere kule Uganda.

Lakini hii sijui dua ya Nguruwe, Kondoo ama ng'ombe haina impact yeyote kwa wasiohusika 🐒
 
Sisi tusio amini Huyo Mungu ni waungwana sana , tungedai mnavyodai nchi ingekua vurugu mechi sana🤔
 
Haya mambo huanzaga hivi hivi, mara Kura za maruhani, mara Kisomo Cha Tanga na sasa Dua ya Ngamia

CUF na ACT Wazalendo ni vyama vyenye Wanachama Waislamu, Wakristo na Wapagani kwanini sasa Serikali haikemei hizo Dua ya Ngamia

Ufafanuzi wa hiyo Dua ni kwamba baada ya Uchaguzi kuna Watu watakuwa vichaa

Nimeogopa sana 🐼
kama imekuwa ya kudikiteitaaaaaaaaaa, wacha iwe ya kidini, bladiccm
 
Chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma kilifanya dua ya kuchinja Ngamia ili kuombea dhuluma mbalimbali zinazofanyika wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu kila baada ya miaka mitano.

Mwenyekiti wa ACT Kigoma Bw. Alphan Bona, amesema kuwa dua hiyo ni maalum kwa yeyote atakayefanya udanganyifu wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Kwa upande wa wanachama wa ACT Wazalendo wakiendelea na dua hiyo ya kuchinja Ngamia, wameitaka Tume ya Uchaguzi kutenda haki ili uchaguzi uweze kuwa wa huru na haki.
 
Chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma kilifanya dua ya kuchinja Ngamia ili kuombea dhuluma mbalimbali zinazofanyika wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu kila baada ya miaka mitano.

Mwenyekiti wa ACT Kigoma Bw. Alphan Bona, amesema kuwa dua hiyo ni maalum kwa yeyote atakayefanya udanganyifu wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Kwa upande wa wanachama wa ACT Wazalendo wakiendelea na dua hiyo ya kuchinja Ngamia, wameitaka Tume ya Uchaguzi kutenda haki ili uchaguzi uweze kuwa wa huru na haki.
Naona Ngamia kasaidia kupata kura! Ila sasa wanamchinjia wa dini yao kweli, maana haya yote yana baraka za Samia.
 
Back
Top Bottom