Wazee wa klabu ya Simba wamuomba Rais kumpeleka CAG kukagua klabu hiyo

Mabwaku..tuliwaambia msimlete Magu mkatubishia na atatumbuliwa MTU....na nyie Simba mnauzaje timu kwa gabachori???kama mnauchungu na timu yenu si mchange hiyo 20B..watu 400,000 watoe 50,000 mnapata 20B...Sisi Yanga ndio tunataka kufanya hivyo alafu mtu aibe hata kumi hiiiiiii#hakunajinsiwatumbuliwetu
 
Wazee hao wasikilizweee wanahoja leo hii karibu uongozi mzima upo jela kwa upigaji dili
 
Hii ni timu ya makonda na pombe
 
Wazee wa Simba tunajua mna hoja za msingi..lakini mnatakiwa mkubali mabadiliko na staili ya uongozi.
 
Mungu wabariki wazee wa Simba

Wasikilizeni wazee sio kukimbilia kuwa wanatumiwa na upande wa pili hivi ni kwanini kila tatizo linapotokea simba mnakimbilia upande wa pili kwani Kilomoni alikuwa anatumiwa na Yanga wasikilizeni wazee Kilomoni aliwatahadharisha kuhusu ujanja wa Mo kuhusu b20 mkampuuza sasa unaambiwa hela hiyo imewekwa kwenye benki isiyojulikana ba Mo kaondoka kweli Mbumbumbu/Mikia/Bodaboda ni gharama
 
Mdhamini wa Yanga analipa pesa kupitia bank gani?
 
Habari ya 2018 ulivyoishadadia sasa utadhani ya jana
 
Mirija ya upigaji ikizibwa kila mtu anaongea lake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…