Wazee wa kubet mnaishije na hii COVID-19?

Wazee wa kubet mnaishije na hii COVID-19?

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
5,915
Reaction score
7,210
Kutokana na janga la Covid 19, kuna vitu vingi vimesimamishwa ili kuepusha maambukizi. Mipaka ya baadhi ya nchi imefungwa. Hakuna kuingia wala kutoka.

Kuna biashara zimefungwa mfano ni Samaki Samaki na baadhi ya hoteli. Kwenye michezo, ligi zote zimesimamishwa.

Sasa najiuliza kwa wale vijana tuliokua tunategemea betting kusongesha maisha yetu tuna hali gani hivi sasa? Au tumerudia zama zetu za kamali na pool tables?

Nimeuliza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona sio poa. Kama kweli kuna mwamba kakitengeneza, naweka mzigo hapa, odd 100, atakuwa kashakufa kwa kihoro cha maelfu waliokufa kwa kazi ya mikono yake.
 
Kutokana na janga la Covid 19, kuna vitu vingi vimesimamishwa ili kuepusha maambukizi. Mipaka ya baadhi ya nchi imefungwa. Hakuna kuingia wala kutoka.

Kuna biashara zimefungwa mfano ni Samaki Samaki na baadhi ya hoteli. Kwenye michezo, ligi zote zimesimamishwa.

Sasa najiuliza kwa wale vijana tuliokua tunategemea betting kusongesha maisha yetu tuna hali gani hivi sasa? Au tumerudia zama zetu za kamali na pool tables?

Nimeuliza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Virtual games mzee zipo za kutosha
 
Ni kama tumefukuzwa kazi mzee Nimebet Mala 6 izi electronic matches napigwa saiz sibet ng'ooooo bora iyo hela nikalewe daa corona sio poa kabsaa
 
Tumepata barua ya kusimamishwa kazi kwa muda usio julikana.

Hata hivyo kuuna nchi mechi bado zinapigwa mfano Belarus.
 
Hamna namna ni kubet virtual games tu..Tena huku ukiotea unapiga mpunga wa maana ase.
 
PARIMATCH 3.png
 
Back
Top Bottom