Wazee wa kuchakachua

Wazee wa kuchakachua

BabaBabuu

Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
85
Reaction score
3
34427_1553272923572_1587644562_1277536_3120318_n.jpg

Tafakari, halafu jadili
 
hahahahahahhaaaaaah, daaaah , thats why nalipenda hili Jukwaa.
 

mwaka huu ccm wanweweseka , hata hili nalo la kuchakachua,
 
Nilikuwa sijaelewa ina maana gani.

Mkuu kweli una macho maana ndiyo kwanza naona kuwa kuna watu wanarudiwa mara kibaooo...

Duuu, hii ni kiboko....

attachment.php
 
Duh kwisha habari yao CCM. Hwatafika mbali. wako ICU oyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Umeifanya siku yangu iwe ya amani sana na kujua kuwa mambo yamekuwa magumu sana kiasi kwamba wanachakachua hata picha ili tuone wako wengi.
 
Back
Top Bottom